Iko hivi Vikao vya chama mambo yamekuwa magumu , wanachama awaaminiani . Hadi kwenye jimbo langu. . Mwenyekiti wangu . Yupo mguu ndani mguu nje . Aelewi nini kinandelea . Ana sema hiki sio chama alikuwa ana Kijua na kukipigania . influence imeshuka . Watu awaelewi . Sijui campaign mambo yatakuwaje .
Huko kwenu vipi ? Mambo yakoje ?