Atropine
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 776
- 1,777
Tatizo sio upinzani, tatizo ni upumbavu wa Watanzania.
Kenya vijana wadogo kabisa wamekataa upumbavu unaofanywa na serikali mpaka Rais Ruto ame surrender.
Vijana wa Tanzania tuko busy na ngono, pombe, kubeti na ubishani wa nani zaidi kati ya Simba na Yanga, Diamond na Alikiba.
Hapo utawalaumu wapinzani bure. Tatizo ni mentality za Watanzania.
Kenya vijana wadogo kabisa wamekataa upumbavu unaofanywa na serikali mpaka Rais Ruto ame surrender.
Vijana wa Tanzania tuko busy na ngono, pombe, kubeti na ubishani wa nani zaidi kati ya Simba na Yanga, Diamond na Alikiba.
Hapo utawalaumu wapinzani bure. Tatizo ni mentality za Watanzania.