Kwanini usiingie wewe barabarani na familia Yako Ili vijana tuone mfanoTatizo sio upinzani, tatizo ni upumbavu wa Watanzania.
Kenya vijana wadogo kabisa wamekataa upumbavu unaofanywa na serikali mpaka Rais Ruto ame surrender.
Vijana wa Tanzania tuko busy na ngono, pombe, kubeti na ubishani wa nani zaidi kati ya Simba na Yanga, Diamond na Alikiba.
Hapo utawalaumu wapinzani bure. Tatizo ni mentality za Watanzania.
Hoja yangu ukiwa mwanachama wa upinzani ni mjinga sababu mwenyekiti ccm damu halafu unaenda kumsikiliza mnafki Bora usifuatilir siasa ushabikie simba na yanga sababu zinatupa furahaNajua kuwa andunje msigwa yuko CCM sasa sijui hoja yako iko wapi ndiyo maana nasema wewe ni mwezi mchanga.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuHoja yangu ukiwa mwanachama wa upinzani ni mjinga sababu mwenyekiti ccm damu halafu unaenda kumsikiliza mnafki
Yaah wapumbavu wenyewe ndio raia kama wewe ambao anawaongozaCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Wewe ni mmoja ya wapumbavu ambao umekubali kuongozwa na CCM miaka 60Kweli maana imeandaa taifa la vijana wajinga na wapumbavu kama wewe
Hamna mchafuko wowote watanzania ni manyumbuNi ngumu,la sivyo TZ itachafuka....labda wabadilike
Suuuhsema suh!
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama ccm hakitotoka madarakani sababu. Moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani Ya hivyo vyama vya upinzani Kuna wenyekiti wa vyama ambao ni ccm damu Sasa fikiria kama mpinzani ni ccm damu je hiyo ccm Kuna dalili ya kutoka kifupi nyie chadema mtoeni mbowe hapo ni ccm damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele
Kwa kweli,kihongo kidogo tu wamelegeaHamna mchafuko wowote watanzania ni manyumbu
Unaweza kuthibitisha hata kwa ushahidi wa kimazingira TU?,na naomba unitajie mifano mingine.nasubiriHuyo ni mfano ambaye anacheo na ni mwana ccm wapo wadogo kibao pia
Kama machafuko yangetokea mwaka huu hamna machafuko bongo ukipata sehemu ya kupiga pesa wewe pigaKwa kweli,kihongo kidogo tu wamelegea
Ndicho nilichojifunza piaKama machafuko yangetokea mwaka huu hamna machafuko bongo ukipata sehemu ya kupiga pesa wewe piga
wapinzani ni wazuri ila chama dola ni ngumu kuitoa vinginevyo katiba mpya au njia nyingine nje ya demokrasiaNdio maana wanachukua watu kutoka Upinzani na kuwafanya viongozi wao
Endelea kusubiriUnaweza kuthibitisha hata kwa ushahidi wa kimazingira TU?,na naomba unitajie mifano mingine.nasubiri
Propaganda za kitoto ni kwa ajili ya watu wa aina Yako.Endelea kusubiri