CCM itakaa madarakani milele kwa sababu ya upinzani dhaifu

CCM itakaa madarakani milele kwa sababu ya upinzani dhaifu

Jinga wewe acha watawale tu sio kuwapa nchi hao matapeli wa Kilimanjaro yaani Bora tutawaliwe na CCM. Mpaka kihama mjinga wewe mnataka muifirisi nchi hii Kwa ukabila wenu
Unaandika ujinga dogo

Una stress za maisha

Una hasira na watu wa kilmanjaro
Mimi sitoki Kilimanjaro lakini ni muumini wa mabadiliko
Takwimu zinaonyesha upinzani umeenea tz nzimA
 
Unaandika ujinga dogo

Una stress za maisha

Una hasira na watu wa kilmanjaro
Mimi sitoki Kilimanjaro lakini ni muumini wa mabadiliko
Takwimu zinaonyesha upinzani umeenea tz nzimA
Mabadiliko Bora yatokee chama Cha mkoa wowote ila sio Kwa hao wamasai ni wabinafsi sana
 
Jinga wewe acha watawale tu sio kuwapa nchi hao matapeli wa Kilimanjaro yaani Bora tutawaliwe na CCM. Mpaka kihama mjinga wewe mnataka muifirisi nchi hii Kwa ukabila wenu
Afadhali umeoonysha hisia zako na nimejua mawazo yako

We unawachukia watu wa Kilimanjaro tu
Chuki zako dhidi ya watu wa kilimanjaro siziituigize kwenye siasa za chuki
Watz tulio wengi tunataka mabadiliko yakiletewa na cdm au act au cuf tuko tayari

Ccm wezi tu wanatuchelewesha

Haya we jingajinga unanifaika na Nini ccm ikitawala milele
 
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.

Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.

Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Unaijua milele au bangi zinakwambia!
 
CCM kutoka madarakani labda ni kwa mapinduzi ya jeshi au Maandamano makubwa sana kama yale ya Kenya

Tanzania hakuna Upinzani wa kuiondoa CCM madarakani
 
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.

Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.

Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Kwasababu ya njaa, (ukata) a. k. a adui muombee njaa
 
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.

Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.

Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Goli la mkono! Mseng***ma yule Nepi!
 
CCM kutoka madarakani labda ni kwa mapinduzi ya jeshi au Maandamano makubwa sana kama yale ya Kenya

Tanzania hakuna Upinzani wa kuiondoa CCM madarakani
Si ndio hapo nawambia ukweli wanabisha
 
CCM inatumia uwoga na ujinga wa wananchi kuendelea kubaki madarakani. Kama wanataka waone sura halisi za Raia wafanye uchaguzi uwe huru na haki.
 
Kwa sasa chama cha siasa hakiwezi kuiondoa CCM madarakani, jamii ndiyo inaweza kuiondoa CCM madarakani, kwasababu ya tabia ya unyumbu, (kuahirisha kufikiri kizalendo), a.k.a kujizima data, washika tonge wameamua kujizima data, yaani kuutukuza unyumbu kwaajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku.

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), mfano hai kuna mdau alijieleza vizuri kwamba yeye ni mwamba kwa safari za maporini, ajibiwa kwa propaganda, (kwa kuahirisha kufikiri kizalendo), alienda mwenyewe maporini kuchimba dawa hakuna aliye nyuma
 
CCM inatumia uwoga na ujinga wa wananchi kuendelea kubaki madarakani. Kama wanataka waone sura halisi za Raia wafanye uchaguzi uwe huru na haki.
MTOA mada kasoma kafika mpaka lasaba lakini anaadika kama mtoto wa "vidudu"
anaonyesha na kuandika kama vile upinzani ni "Mbowe, Mnyika na Boni Yai" kumbr hata bibi yake ambaye amekosa amafao keaajili ya kikokotoo na analalamika ni mpinzani.
 
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.

Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.

Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Kama ndo hivo, basi na wewe utaishi milele...
 
Kwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.

Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.

Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Sijui kwa ufahamu wako juu ya matumizi ya neno "milele". Lakini naweza kukufafanulia kuwa Milele ni neno linalomaanisha uwepo usio na mwanzo wala mwisho unavyosadikiwa na imani mbalimbali kuhusu maisha ya viumbe mbalimbali katika ulimwengu wa roho.

CCM ikiwa ni "legal entity" iliyoanza kuishi mwaka 1977 na ambayo iilikufa toka mwaka 1995 na ambayo pia inaweza kuzikwa rasmi wakati wowote kuanzia hivi sasa! unaihusisha na maisha ya umilele!?
 
Back
Top Bottom