CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
CCM ina hazina kubwa sana ya waapumbavuAsilimia 90 ya watanzania ni wajinga sio vyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ina hazina kubwa sana ya waapumbavuAsilimia 90 ya watanzania ni wajinga sio vyama
Hilo ni kosa la upinzani kweli?!Ndio maana nikasema kitakaa milele sababu wapumbavu ndio wapiga kura
Dogo kama vile umetoka kwenye sayari nyingine umeshuka Leo unashangaaKwa jinsi nilivyoona siasa za hii nchi yaani chama kama CCM hakitotoka madarakani. Sababu moja wapo ni upinzani dhaifu nikisema hivyo nadhani mnanielewa.
Kila siku wapinzani wanalalamika wanaibiwa kura halafu uchaguzi unaofuata wanashiriki tena hivi hii ni akili au kichaa kingine wapinzani hao hao ndani ya hivyo vyama vya upinzani kuna wenyekiti wa vyama ambao ni CCM damu.
Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Umeandika vizuri ila hapa ndipo umekosea na wewe utakuwa CCM damu kwa hili.Sasa fikiria kama mpinzani ni CCM damu, je hiyo CCM kuna dalili ya kutoka kifupi nyie Chadema mtoeni Mbowe hapo ni CCM damu ndio tatizo anakula na wakubwa halafu siku akiwaambia muandamane muambieni aweke familia yake mbele.
Kwahiyo ulitaka niseme Mimi ni chadema damuUmeandika vizuri ila hapa ndipo umekosea na wewe utakuwa CCM damu kwa hili.
Kwahiyo chadema wangekua madarakani wasingeyafanya hayo uliyoyaandika itoshe kusema hujielewi mzeeDogo kama vile umetoka kwenye sayari nyingine umeshuka Leo unashangaa
Ccm ni lini waliacha upinzani ukamarika
Ccm ni lini waliacha wapinzani wao kustawi??
MAccm Huwahujumu wapinzani kwa kuwanunua watu wao
Huwatesa na kuwafunga wapinzani
Huchoma ofisi zao
Huwajumu kwa kuwateka na kuwapora fomu wakati wakurejesha
Nadhani hata Hawa waliopotea upinzani tuwatie moyo tuwasupport ipo siku watapindua meza
Tuseme ukweli tu ukimuondoa Mbowe CHADEMA itakwisha, CCM wanalijua jambo hilo na ndio maana wanawafdhili watu maskini kama Msigwa ili wamwondoe Mbowe. Mbowe ametumia mabilioni yake binafsi kuisaidia CDM, nani asiyejua jinsi Mbowe alivyo sacrifice mali zake kwa ajili ya CDM? Ukisema Mbowe atoke najua tu hawa ni ccm damu wanataka kuua upinzani moja kwa moja. Itatokea tu Mbowe atakapoachia ngazi, upinzani utakufa kabisa. Wapo wapi akina Lipumba, Mbatia, Zito, Cheyo na vyama vyao? Ni Mbowe tu na CHADEMA ndio wamebaki! Hujui hili?Kwahiyo ulitaka niseme Mimi ni chadema damu
Mabilioni Gani ambayo yemetoka mfukoni kwake zaidi ya kupewa kutoka CCM acha siasa zako za uongo uongo ongea ukweli jamaa ni tatizo pale chadema ukibisha basi kitendo Cha mbowe kuendelea kuwa chadema ndio ccm wanafurahi hivi Kwa akili Yako tu kama angekua mwiba wa ccm angetoka kirahisi kwenye zile shutuma za ugaidi na kwenda kunywa chai ikulu hivi hata picha uoni mzee yaani watanzania bado hamna akiliTuseme ukweli tu ukimuondoa Mbowe CHADEMA itakwisha, CCM wanalijua jambo hilo na ndio maana wanawafdhili watu maskini kama Msigwa ili wamwondoe Mbowe. Mbowe ametumia mabilioni yake binafsi kuisaidia CDM, nani asiyejua jinsi Mbowe alivyo sacrifice mali zake kwa ajili ya CDM? Ukisema Mbowe atoke najua tu hawa ni ccm damu wanataka kuua upinzani moja kwa moja. Itatokea tu Mbowe atakapoachia ngazi.
Labda kama unatania kama Nape. Kama kweli unaamini katika hoja hizi duni kabisa basi tuache mjadala huu manake naona upo chini mno ki-uelewa wa mambo.Mabilioni Gani ambayo yemetoka mfukoni kwake zaidi ya kupewa kutoka CCM acha siasa zako za uongo uongo ongea ukweli jamaa ni tatizo pale chadema ukibisha basi kitendo Cha mbowe kuendelea kuwa chadema ndio ccm wanafurahi hivi Kwa akili Yako tu kama angekua mwiba wa ccm angetoka kirahisi kwenye zile shutuma za ugaidi yaani watanzania bado hamna akili
Wee ndio upo chini ki uelewa yaani mbowe anakudanganya yeye ni mpinzani wakati alipewa kesi ya ugaidi na akatoka kirahisi tu na akaenda kunywa chai ikulu Kwa akili Yako ndogo bado unaona jamaa ni mpinzani yaani mpinzani atoke kwenye kesi kama hiyo kirahisi tuLabda kama unatania kama Nape. Kama kweli unaamini katika hoja hizi duni kabisa basi tuache mjadala huu manake naona upo chini mno ki-uelewa wa mambo.
Tumeamua tu kumuacha Mbowe katika maoni haya kwa sasa lakini angalia tu hata Tundu Lissu akisimama kwa miguu yake mliyotaka kuikata kwa kutumia majambazi wenu, si unaona Lissu anaongoza kwa mbali hapa? Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?Wee ndio upo chini ki uelewa yaani mbowe anakudanganya yeye ni mpinzani wakati alipewa kesi ya ugaidi na akatoka kirahisi tu na akaenda kunywa chai ikulu Kwa akili Yako ndogo bado unaona jamaa ni mpinzani yaani mpinzani atoke kwenye kesi kama hiyo kirahisi tuhttps://www.jamiiforums.com/threads/je-ni-nani-kati-ya-hawa-10-anasifa-za-ziada-za-kuwa-mrithi-wa-rais-samia-atakapomaliza-kipindi-chake.2236329/unread
Sasa kama ndo utaratibu unalalamika Nini dogoKwahiyo chadema wangekua madarakani wasingeyafanya hayo uliyoyaandika itoshe kusema hujielewi mzee
Wewe ndio pimbi Mimi nimekuambia CCM haitotoka madarakani wewe unaanza kulialia mara wanaonea wapinzani hiyo ni juu Yao ila CCM itatawala mileleSasa kama ndo utaratibu unalalamika Nini dogo
Kuwa mpinzani uovercome figisu za ccm ndo uje tuandike
Wewe umejificha kwenye keyboard
Unaandika upuuzi
Pimbi tu
Hi nchi Ina majinga wengiWewe ndio pimbi Mimi nimekuambia CCM haitotoka madarakani wewe unaanza kulialia mara wanaonea wapinzani hiyo ni juu Yao ila CCM itatawala milele
Jinga wewe acha watawale tu sio kuwapa nchi hao matapeli wa Kilimanjaro yaani Bora tutawaliwe na CCM. Mpaka kihama mjinga wewe mnataka muifirisi nchi hii Kwa ukabila wenuHi nchi Ina majinga wengi
Ona hili bumunda linashangilia upumbavu
Wakitawala mileie na wapinzani wakiwa dhaifu we unaumia au unapapta faida gani
Maisha yamekaza kwako mzee usijumuishe wote ukiona maisha yamekaza ingia barabarani kaandamane Ili maisha Yako yawe rahisiSio upinzani bali ni uthaifu na ujinga wa watanzania. Na niamini mimi kuwa shida sio ccm ila watanzania wenyewe tumevurugwa...hatujui tunachotaka....kila siku maisha yanakaza ila sie tumekaza mafuvu kusifia mechi, kubeti na mziki....kama vile hakuna shida....pumb***vu zetu wote tunaoitwa watanzania....kilichopo ni kuwa ccm wenyewe achana na wale bendera fuata upepo wameshajua hakuna mtu wa kuwatisha....hivyo wanaweza kuishi kama wapo peponi ingawa ni jehanam.