Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Wewe ulivyo mpuuzi unadhani Africa kuna chama tawala kilichowahi kutoka kwa njia ya kura? Nchi itabadili mfumo endapo tu raia wake watajitambua na kuacha ubinafsi na ukabila.
Bila raia kubadilika CCM kutoka labda kwa njia zile za Afrika Kaskazini na Afrika Magharibi.
Bila raia kubadilika CCM kutoka labda kwa njia zile za Afrika Kaskazini na Afrika Magharibi.