Pre GE2025 CCM itashinda uchaguzi mkuu 2025 kwa kishindo na halali

Pre GE2025 CCM itashinda uchaguzi mkuu 2025 kwa kishindo na halali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Dalili zote zimeshaonesha kwamba hiki Chama cha Mapinduzi kinashinda UCHAGUZI wa mwaka 2025 kwa halali kabisa kwanini nasema halali sababu mwaka huu vyama vya upinzani asilimia kubwa hawajajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na mwakani itakua hivyo hivyo.

Sasa hapo ndio CCM itaibuka kidedea kwa ushindi mnono sababu wanachama wake wanajiandikisha Kila siku CCM haitokuja kutoka madarakani na UCHAGUZI wa mwaka 2025 Samia anaenda kushinda kihalali kabisa
 
Dalili zote zimeshaonesha kwamba hiki Chama cha Mapinduzi kinashinda UCHAGUZI wa mwaka 2025 kwa halali kabisa kwanini nasema halali sababu mwaka huu vyama vya upinzani asilimia kubwa hawajajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na mwakani itakua hivyo hivyo Sasa hapo ndio CCM itaibuka kidedea kwa ushindi mnono sababu wanachama wake wanajiandikisha Kila siku CCM haitokuja kutoka madarakani na UCHAGUZI wa mwaka 2025 Samia anaenda kushinda kihalali kabisa
Even wewe ungeshinda kama mifumo yote iko upande wako
 
Picha linaanza kwa watu kujiandikisha kwa ailimia 98+ 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Imepata kura ngapi

We futibolu upo dunia ya ngapi? ccm haihitaji kura inakadiria namba tu kule maporini washasema, haya jisikilizishe hapo chini usijtoe ufahamu
 

Attachments

  • 5770917-12f2f23d25bbe7fc3516e11af8120993.mp4
    15.1 MB
  • 5811551-e57b5af48b06cd9b311484801b400f09.mp4
    3.5 MB
Dalili zote zimeshaonesha kwamba hiki Chama cha Mapinduzi kinashinda UCHAGUZI wa mwaka 2025 kwa halali kabisa kwanini nasema halali sababu mwaka huu vyama vya upinzani asilimia kubwa hawajajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na mwakani itakua hivyo hivyo Sasa hapo ndio CCM itaibuka kidedea kwa ushindi mnono sababu wanachama wake wanajiandikisha Kila siku CCM haitokuja kutoka madarakani na UCHAGUZI wa mwaka 2025 Samia anaenda kushinda kihalali kabisa
Infact,
that is plain truth..
na unaona hata upinzani wenyewe wanaukubali wakiwa na uchungu mwingi sana ukitazama sura na mihemko yao..

Friends ladies and gentlemen,
mambo haya ya siasa ni kujipanga tu bila makasiriko na bila kutengemea huruma ya wananchi. Numbers matters most.

Kila la kheri kipenz cha waTanzania wote comrade Dr.Samia Suluhu Hassan utakapochukua hatamu tena za uongozi wa Taifa letu Oct.2025🐒
 
Infact,
that is plain truth..
na unaona hata upinzani wenyewe wanaukubali wakiwa na uchungu mwingi sana ukitazama sura na mihemko yao..

Friends ladies and gentlemen,
mambo haya ya siasa ni kujipanga tu bila makasiriko na bila kutengemea huruma ya wananchi. Numbers matters most.

Kila la kheri kipenz cha waTanzania wote comrade Dr.Samia Suluhu Hassan utakapochukua hatamu tena za uongozi wa Taifa letu Oct.2025🐒
Yes atachukua uraisi sababu wapinzani hawataki kujiandikisha
 
Hiyo ni sababu finyu! How far are you sure hao waliojiandikisha wataipigia kura CCM?
Bila wizi CCM haiwezi kushinda!
 
Hiyo ni sababu finyu! How far are you sure hao waliojiandikisha wataipigia kura CCM?
Bila wizi CCM haiwezi kushinda!
Wataipigia ccm sababu ni wanachama na wapenzi wa hicho chama lakini wapinzani hawajajiandikisha utapigiwaje kura na mtu ambae sio mpenzi wa chama chako kwahiyo unasubiri mtu wa ccm aliejiandikisha akapigie kura chadema hizi akili Gani jamani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yes atachukua uraisi sababu wapinzani hawataki kujiandikisha
sio tu kujiandikisha lakini pia kutengemea huruma za wananchi na miujiza. Hawana mipango mikakati na wamepoteza uelekeo kabisa..

navipongeza sana vile vyama kadhaa vya siasa vya upinzani nchini ambavyo tayari vimeshaamua kumuunga mkono Dr Samia suluhu Hassan kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Haya ni maono ya mbali na ni uamuzi wa kizalendo sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.🐒
 
sio tu kujiandikisha lakini pia kutengemea huruma za wananchi na miujiza. Hawana mipango mikakati na wamepoteza uelekeo kabisa..

navipongeza sana vile vyama kadhaa vya siasa vya upinzani nchini ambavyo tayari vimeshaamua kumuunga mkono Dr Samia suluhu Hassan kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Haya ni maono ya mbali na ni uamuzi wa kizalendo sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.🐒
Mimi sio chawa mwenzio naona unakomenti kichawa
 
Back
Top Bottom