Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sifahamu chochote kuhusu dhana za kinyumbu au vinginevyo,Mimi sio chawa mwenzio naona unakomenti kichawa
ile jambo ya maana zaidi ni kumwaga ukweli whether mtoa hoja ana furahi ama ana chukia kuhusu ukweli huo bayana ndani ya mjadala huru wa wazi ndani ya jukwaa hili..
infact,
hakuna haja ya kubabaika na kuweweseka na yeyote dhidi ya ukweli uliyouanzisha mwenyewe na wadua tunaobainisha na kuoongeza ukweli zaidi.
mengine ni useless tu gentleman na hayana maana 🐒

