Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
hii ya kudeal na mihemko ya kinyumbu naifurahia sana kwakweli 🤣Tafuta kazi ya kufanya acha kuwa chawa utaolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ya kudeal na mihemko ya kinyumbu naifurahia sana kwakweli 🤣Tafuta kazi ya kufanya acha kuwa chawa utaolewa
We itakua umeshalawitiwa maana dalili zote zinaonyeshahii ya kudeal na mihemko ya kinyumbu naifurahia sana kwakweli 🤣
Nimejiuliza kama sensa ya iliyopita ilisema kuna watanzania 60m inamaana watanzania above 18yrs onld ni zaidi ya 50%? inawezekana kweli na wote wajiandikeshe 100% kuna kitu hakiko sawa aiseeNimecheka kwa nguvu, unasena wapinzani hawajajiandikisha, ila idadi ya Tamisemi inasema ina wapiga kura 31m+, yaani wapiga kura ni wengi kuliko watanzania wote wenye umri zaidi ya miaka 18! Rudi ukatengeneze propaganda upya kulingana na uongo Tamisemi.
Ukiwa mmiliki wa timu ukapewa nafasi ya kuteua referee kwa ajili ya timu yako utateua ambaye hatoipendelea timu yako?Ndio maana nikasema ITASHINDA kihalali
kura ni siri,Mimi nimejiandikisha na ni mwanachama wa CCM ila siipigii kura CCM Ng'oooo nishasema na sihami
Bado ni siri hapa si nmeandika "UPOPO"kura ni siri,
ni uamuzi, uhuru na haki yako wala hayupo wa kubabaika na kura yako.
mpigie kiongozi wa maana makini kwa mustakabali wako na familia yako baada ya kufuatilia na kuchuja sera na mipango yao katika kampeni gentleman 🐒
niliona tangu mwanzo ulikua unafanya maziezi ya kuporomosha matusi mazito mazito kama dawa kama kawa..🤣We itakua umeshalawitiwa maana dalili zote zinaonyesha
Atakaekupinga anajitakia kutekwa au kuuwawa kama marehemu mzee kibaoDalili zote zimeshaonesha kwamba hiki Chama cha Mapinduzi kinashinda UCHAGUZI wa mwaka 2025 kwa halali kabisa kwanini nasema halali sababu mwaka huu vyama vya upinzani asilimia kubwa hawajajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na mwakani itakua hivyo hivyo.
Sasa hapo ndio CCM itaibuka kidedea kwa ushindi mnono sababu wanachama wake wanajiandikisha Kila siku CCM haitokuja kutoka madarakani na UCHAGUZI wa mwaka 2025 Samia anaenda kushinda kihalali kabisa
changamoto binafsi zitafutiwe majawabu binafsi gentleman 🤣Bado ni siri hapa si nmeandika "UPOPO"
Wewe unajuaje kama wapinzani hawakujiandikisha?Wataipigia ccm sababu ni wanachama na wapenzi wa hicho chama lakini wapinzani hawajajiandikisha utapigiwaje kura na mtu ambae sio mpenzi wa chama chako kwahiyo unasubiri mtu wa ccm aliejiandikisha akapigie kura chadema hizi akili Gani jamani🤣🤣🤣🤣🤣
Ccm ni wakora TU!CCM ikishinda nipigwe bani miezi -3