Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ubunge wa Kyela ampe nani ?Kinanasi huyu mbunge wa Kyela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubunge wa Kyela ampe nani ?Kinanasi huyu mbunge wa Kyela?
Hao uliowataja sio kwamba wakati umewatupa ni kwamba wamewekwa pembeni na wenye chama chao.Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna aliyewekwa pembeni bwashee!Hao uliowataja sio kwamba wakati umewatupa ni kwamba wamewekwa pembeni na wenye chama chao.
Hujui kwamba chama kina wenyewe?!
Na wao wameona wakae pembeni kwa Style ya kususa
UVCCM wako wapi?....au ndio Kigwangalla!!!CCM ni Chama chenye vision kubwa ndio maana kuna Chipukizi, UVCCM na Jumuia ya Wazazi.
Kwny ajira huko hawafaidiki na kitu,wamekomaa na ujenzi maana 10% ndiko wanakopigia huko.CCM hawana cha kuwaambia wananchi! Zimebaki ni porojo, mambo ni yaleyale, barabara, madaraja na ndege!
Huwezi kuwasikia wakigusia ajira!
Bwashee shikamoo, Mwigula wa sasa mweupee haijawahi kutokeaWapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Kila zama na kitabu chake bwashee!Bwashee shikamoo, Mwigula wa sasa mweupee haijawahi kutokea
Hahahaha,hivi ameshajua kusoma na kuandika?CCM inapumulia mashine , kinanasi anahutubia Matema lakini anawaambia wananchi ccm imejenga flyover Tazara !
Kwani CCM kuna vijana wenye akili?Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Wengi sana bwashee!Kwani CCM kuna vijana wenye akili?
Machozi ya mamba hayo, akiwa waziri wa polisi alifanya jitihada gani kuwakamata WAHUSIKA?Hilo la Lisu unamsingizia bwashee.
Mwigullu Nchemba ni miongoni mwa wanaccm wachache waliombeba Lisu kumuingiza ndani ya ndege.
UVCCM wapo!Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.
Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.
Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Na majibu yako mepesi. Siku za badilika.Hakuna aliyewekwa pembeni bwashee!
CCM haina sera tena na imejaa wazee wasaka vyeo.