Uchaguzi 2020 CCM itumie vijana kunadi Ilani na Sera zake. Hawa akina Mwigullu, Nape, January na Kigwangala wakati "umeshawatupa mkono"

Uchaguzi 2020 CCM itumie vijana kunadi Ilani na Sera zake. Hawa akina Mwigullu, Nape, January na Kigwangala wakati "umeshawatupa mkono"

Kupoteana siyo rahisi kama unavyofikiria!

Kupoteana ccm ya leo ni rahisi kwani hawa wakuja hawaijui ccm ; leo hii mwenyekiti wao JIWE ukimuuliza JOHN RUPIA ni nani sintashangaa kuwa hamjui!!! Kwa misingi hiyo lazima wapoteane.
 
Bwashee ninyi pumzi imeshakata
Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.

Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.

Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
 
Hawana sera zaidi ya zile za kununua ndege! Sasa hivi wanakopi sera za wapinzani baada ya kuingia madarakani ndizo watakazotumia kuongoza nchi.
 
Vijana akina Kheri James, Paul Bashite, Ally Hapi, Gambo?

Chaama chenyewe ni kichaka cha walanguzi na majangiri wa rasilimali
 
Niwashauri tu wamtumie sipriani musiba watapata kura za kimbunga.....
 
Ccm hainadiki tena...... Naona wamecha kabisa hizi kauli mbiu...magufuli hataki hata kuzisikia
1. Hapa kazi tu
2. Tanzania ya viwanda
3. Make tanzania great again
4. Kupambana na ufisadi.... Magufuli mwenye fisasi haijawahi kutokea nchi hii...
5.
6.
7.
 
Wapiga kura zaidi ya 60% ni hawa vijana wa kizazi kipya ambao wana namna wanavyoelewana kwa " lugha " yao. Naamini UVCCM kuna vijana wengi wenye uelewa na uwezo mkubwa wa kuchambua sera kama wafanyavyo wachambuzi wa soka, wapeni nafasi.

Hawa akina Kigwangalla wakati umeshawatupa mkono hawawezi siasa za kizazi kipya sana sana wataendekeza visasi tu badala ya kukiandaa chama kwa uchaguzi wa 2025 Rais Magufuli atakapomaliza muhula wake wa pili.

Hata majukwaani nimeona vijana Kalla na Stamina wanaielezea vizuri ilani ya CCM kuliko baadhi ya wakongwe ambao hawana mbinu za amsha amsha zaidi ya kuongea kibondia.

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
Mtuana Mwaka huu huko Lumumba, tayari Meko anaona kila Mtu adui, hadi Bashiru
 
Musiba kisha wachafua kuwa kamati kuu ya JIWE imeteua wauza madawa ya kulevya kugombea uBunge!!!
Hahahaaaa..... Hili tetezi la rais ni hamnazo kabisa km polepole. Hapo lilimlenga nani sasa??
 
Back
Top Bottom