CCM iweke hadharani ukaguzi wa hesabu katika ziara za Makonda nchi nzima, ubadhirifu usifumbiwe macho!

CCM iweke hadharani ukaguzi wa hesabu katika ziara za Makonda nchi nzima, ubadhirifu usifumbiwe macho!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nashauri ile taarifa ya mkaguzi wa hesabu wa CCM iwekwe hadharani, najua imejaa madudu ya kutisha sana. Haitoshi tu kumuondoa Mwenenzi na kumpeleka Arusha, Mwenezi awajibishwe kwa matumizi mabaya ya fedha za chama
 
Makonda amemaliza awamu ya Kwanza anapumzika kidogo Arusha 2025 anarudi kufunga Kazi akirithi mikoba ya Kanali mstaafu

CCM ni chama kikubwa 😂😂🔥
 
Makonda amemaliza awamu ya Kwanza anapumzika kidogo Arusha 2025 anarudi kufunga Kazi akirithi mikoba ya Kanali mstaafu

CCM ni chama kikubwa 😂😂🔥
Hahaaa, yaani kanali amtoe, halafu amrithi? Makonda is a reject, mfumo unamtema
 
Sasa mwenezi wa chama anahusika vipi na pesa ndani ya chama? Unafahamu utaratibu wa kutoa pesa ndani ya chama? Unafahamu anayehusika na taratibu zake? Acha kuchafua viongozi wetu hata kama una chuki binafsi basi jaribu kutumia hata akili kidogo unapotaka kuzusha uongo kama huu ulioleta hapa jukwaani.
 
Nashauri ile taarifa ya mkaguzi wa hesabu wa CCM iwekwe hadharani, najua imejaa madudu ya kutisha sana. Haitoshi tu kumuondoa Mwenenzi na kumpeleka Arusha, Mwenezi awajibishwe kwa matumizi mabaya ya fedha za chama
Kwani mwenezi ni mtunza fedha za chama ?😂😂😂
 
Aguswe Kama Alivyowagusa Wengine Tu Ijulikane Wazi
 
Back
Top Bottom