Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ushauri wako umepokelewa japo sio kwa umuhimu. Maoni yako yameskizwaNashauri ile taarifa ya mkaguzi wa hesabu wa CCM iwekwe hadharani, najua imejaa madudu ya kutisha sana. Haitoshi tu kumuondoa Mwenenzi na kumpeleka Arusha, Mwenezi awajibishwe kwa matumizi mabaya ya fedha za chama