ushauri wako umepokelewa japo sio kwa umuhimu. Maoni yako yameskizwaNashauri ile taarifa ya mkaguzi wa hesabu wa CCM iwekwe hadharani, najua imejaa madudu ya kutisha sana. Haitoshi tu kumuondoa Mwenenzi na kumpeleka Arusha, Mwenezi awajibishwe kwa matumizi mabaya ya fedha za chama
30% ipi, ingekuwa inatoa kiasi hicho dhalimu magu asingepora mchakato wa uchaguzi.Anarudi pale pale kwa Afisa mwenzake Nchimbi ๐๐
Kanda ya Ziwa inatoa 30% ya kura za CCM
Siasa ni sayansi
Nguvu ndani ya chama ni mbeleko ya vyombo vya Dola.Shida sio kura za nje,,,kwa sasa shida ni nguvu ndani ya chama
Hadi sikukuu unahemka ๐30% ipi, ingekuwa inatoa kiasi hicho dhalimu magu asingepora mchakato wa uchaguzi.
Sikukuu gani boss, hatuli hadharani msije shindwa kufunga.Hadi sikukuu unahemka ๐
Jambazi kaanza kulialia hukoSio kaskazini tu, sema ni rais kivuli.
table manners iwe observed,Sikukuu gani boss, hatuli hadharani msije shindwa kufunga.
Kawaacha wapi wakati anachezesha kete huko kwa sir god kamati ya kuwapokea wale wahanga wa maturubai,,,,,,yani upepo kwa sasa upo as above so below, chini KONDA boy juu kiongozi wa malaika.......rudieni tena yale ya Lindi,,,password bye byeKaondoka jiwe Magufuli katuacha na huyo alikuwa rais, huyu takataka atatutisha kwa kipi!?
Endelea kuota ukiamka utakutana na uhalisia.Kawaacha wapi wakati anachezesha kete huko kwa sir god kamati ya kuwapokea wale wahanga wa maturubai,,,,,,yani upepo kwa sasa upo as above so below, chini KONDA boy juu kiongozi wa malaika.......rudieni tena yale ya Lindi,,,password bye bye
Uhalisia RAIS WA KASKAZINIEndelea kuota ukiamka utakutana na uhalisia.
๐ฎ๐ฎMakonda amemaliza awamu ya Kwanza anapumzika kidogo Arusha 2025 anarudi kufunga Kazi akirithi mikoba ya Kanali mstaafu
CCM ni chama kikubwa ๐๐๐ฅ
๐ฎ๐ฎSasa mwenezi wa chama anahusika vipi na pesa ndani ya chama? Unafahamu utaratibu wa kutoa pesa ndani ya chama? Unafahamu anayehusika na taratibu zake? Acha kuchafua viongozi wetu hata kama una chuki binafsi basi jaribu kutumia hata akili kidogo unapotaka kuzusha uongo kama huu ulioleta hapa jukwaani.