milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
- Thread starter
- #21
Weka picha tuone unachoongea tulinganishe ukweli wako na uongo wangu.Unajua jamii forum unashuka hadhi kwaajiri ya wajinga kama wewe,yaani hamjaona mradi ulivyo umemalizika vip? Ninyi kazi yenu nikuponda ,Mimi nipo karibu na gate,gatini Kuna umeme wa kutosha ,Kuna maji ya kutosha,Kuna CCTV camera ip camera 8mega pixel,Kuna mitaro mikubwa kabisa ya maji na mapedressiwa vizur sana na kesho nitawatumia picha ya hilo gate