peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hii ni ya zamani sana miaka ya 80
Wakati huo walikuwa wanabomoa jengo la zamani ili wajenge ofisi ya ghorofa 25 ya CCMHii ni ya zamani sana miaka ya 80
Miaka ya 1950 ujueYaa kitambo sana
Erythrocyte akitia mguu hapa! ataanza ...shetani; ..... chadema ni mpango wa Mungu etcNgoja makada. Waje
Inasemekana hii ya zamani..!! Sina uhakika lakini
CCM KIMEJAA RAIA FEKI WA KITANZANIA NA WAKIMBIZI , MAJAMBAZI ,MAJANGILI , WAUZA NGADA WOTE HAO WANAMILIKI KADI YA CCM SASA UNATEGEMEA NINI
Wapi na nini kimetokea?
sisi watanganyika ni wajinga kabisa.nchi yetu inaharibiwa na mama na tutayakumbuka maneno ya ndugai.Hao mapimbi wanaorekodi tukio kama hili ndio mamluki..wanawachoma wenzao hivi hivi
Kataa ndoaKimeumana huku Tabora
Sasa mtu kama huyu anashindwaje piga kura ya kuuza nchi!??Kimeumana huku Tabora