Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
kwani ni dhambi ?Hao mapimbi wanaorekodi tukio kama hili ndio mamluki..wanawachoma wenzao hivi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani ni dhambi ?Hao mapimbi wanaorekodi tukio kama hili ndio mamluki..wanawachoma wenzao hivi hivi
Hii mara ya kwanza niliiona 2021 sijui exactly ni ya lini ila sio ya sasaBandari, bandari Bandari
=====
Tawi la CCM linalosomeka Kinondoni Mjini lavunjwa na wananchi.
Sasa huyu na bandsri wapi na wapi?Kimeumana huku Tabora
Ya zamani kidogo na ililetwa humu.Inasemekana hii ya zamani..!! Sina uhakika lakini
Daah!! CCM wanatapeli mpaka "K"?Kimeumana huku Tabora
Kwahiyo haina uhusiano na bandari kupewa waarabu?Ya zamani kidogo na ililetwa humu.
Wakati huo CCM ilikuwa inataka kutapeli kiwanja.Kwahiyo haina uhusiano na bandari kupewa waarabu?
hii picha ya zamani haihusiani na maafa ya sasaBoti linaelekea kugonga Mwamba,mikataba 30 iliyosainiwa Dubai kama itaonekana yenye kuliuza Taifa basi watu wataikataa CCM.
comments reservedBandari, bandari Bandari
=====
Tawi la CCM linalosomeka Kinondoni Mjini lavunjwa na wananchi.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: Ofisi za CCM Kinondoni zavunjwa kisa Mkataba wa DP World
Tuachane na CCM sasa imetosha.Bandari, bandari Bandari
=====
Tawi la CCM linalosomeka Kinondoni Mjini lavunjwa na wananchi.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: Ofisi za CCM Kinondoni zavunjwa kisa Mkataba wa DP World
Duh kisa mkasa?Bandari, bandari Bandari
=====
Tawi la CCM linalosomeka Kinondoni Mjini lavunjwa na wananchi.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: Ofisi za CCM Kinondoni zavunjwa kisa Mkataba wa DP World
Hatimaye wanaume wa kinondoni wamefanya kitu ambacho hata wale wa mikoani waliokuwa wanajitapa hawajawahi kufanya.Bandari, bandari Bandari
=====
Tawi la CCM linalosomeka Kinondoni Mjini lavunjwa na wananchi.
===
JamiiForums imefanyia kazi suala hili, soma: Ofisi za CCM Kinondoni zavunjwa kisa Mkataba wa DP World