CCM kimeanza kuumana

HATIMAYE UMMA WA WATANZANIA WAMESTUKA NA WAMEANZA RASMI KUJITAMBUA.

TUNATAKIWA TUFANYE HIVI PALE MAKAO MAKUU YAO DODOMA

BINAFSI NITASHIRIKI KWA KUSHIKA NYUNDO NA KUBOMOA VIBAO NA KUICHANACHANA BENDERA
 
Muhuni mzee wa msoga na genge lake walikula mpaka wakatutapikia wananchi tukalalamika sana ila sasa Samia anakula mpaka anatunyea na kutuharishia kabisa
 
Boti linaelekea kugonga Mwamba,mikataba 30 iliyosainiwa Dubai kama itaonekana yenye kuliuza Taifa basi watu wataikataa CCM.
Your browser is not able to display this video.
 
Tafuta mbinu nyingine baba'angu!!!

Hiyo imebumaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…