CCM Kimeumana, sasa Ubungo, Babati, Mbeya na Tabora kurudia Uchaguzi

Bila kuwawajibisha waliovuruga zoezi ni dhahiri kutakuwa na facilitation toka juu
 
Huwa ninacheka vibaya sana, ili ccm ijipe matumaini hewa, inabidi iwe inawataja cdm kwenye kila vikao vyao ili kujifariji kuwa cdm haipo. Ikifika uchaguzi inategemea vyombo vya dola kutangazwa washindi!
Aaaaaiiiseee 😀😀😀😀😀😀😀
 
Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,

CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,

Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
Wazidumu fikra za Mwenyekiti si ndiyo hao hao unaowapa hongera ....!!

Unahamisha magoli .....!!?
 
Ukiona kuna kuumana kuna watu wanafikiria UBUNGE hivyo wanawapanga watu wa kuwapigia kura za maoni ili wapite hatua za mwanzo za ubunge.
 
Hongera Sana Ccm-tanzania, ingekuwa wale wenzetu wa zidumu fikra za Mwenyekiti ndio ingekuwa basi tena,

CCM bado ni Chama bora kabisa duania na Africa cha kupigiwa mfano,

Viva CCM, VIVA, VIVA SAMIA VIVA
Tunaibiana kura kama tunavyowaibia wapinzani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…