Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daud Bashite kwa sasa ndiyo Mwenyekiti kivuli wa CCM anachokiamua yy ndicho kinakuwa sheriahapo ndipo utagundua viongozi wa CCM na serekali yake wanavyoendekeza matumbo.
wapo radhi hata chekechea huyu awalishe hata kinyesi ilimradi tu matumbo yao yawe salama...
uhuru wa kweli kwa Mtanzania si ule wa kumwondoa mkoloni bali kuifutilia mbali CCM!
baba jesca anasubiria Bashite amwambie ni linilini wanafukuzwa
Hivi uzushi unalipa eeeh au uzushi ni kazi?Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Fukuza Bashe & Kinana kujenga chamaBashe is one of the best young politicians this country has
The opposite is the truthWell, hii ni tetesi na si busara sana kujadiri tetesi. Hata hivyo, hili likitokea kweli itakuwa sawa na Chama kujaribu kukimbia kivuli chake. Kuwafukuza hao jamaa kuna hasara nyingi zaidi ya faida. Ninafikiri Magu is too smart to realize that. Wise people normally keep their "enemies" closer - in order to watch their every move.
Mwisho wa CCM hauko mbaliTaarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Ndio mjue ila chura ya bashite ina power kubwa
Ndiyo maana mmekihalibu chama!Wafukuzwe tuu...waje upande wetu tupge kazi
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.
Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.