Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Vitaibuka na kufa kama cuf na nccr,Muungano utaboreshwa na kudumu zaidi,ila naona chama kinachofuata kufa ni Magaidi wa chademaWakati ni ukuta.
Ipo siku CCM itakufa. Vyama vipya vitaibuka. Tanganyika itakombolewa kwenye makucha ya Zanzibar.
Yapi mawazo yakoChawa sijui wako upande upi π π€£ π
Hahahaah uko team chawq au mwendazake?Kuitabiria CCM kugawanyika ni sawa na fisi kutabiria mkono wa binadamu anayetembea utaanguka muda si mrefu! Ahahahahaha!!
Zote ni CCM dogo.Hahahaah uko team chawq au mwendazake?
Actually kila kabl ya election⦠vyama hugawanyikaNi 2015 au 2025? Rekebisha heading
Mimi pia ni miongoni mwa wale ambao wamejibanza Angalau for the time being ππ·Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.
Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mmojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"
Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?
Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.
Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.
Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.
Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.
Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.
Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.
Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.
Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
πππ³Ngoja tusubiri yetu MAJICHO
Zama hubadilika hata hapa Bongo zitabadilika πKenya hakuna makondoo wa sampuli ya hapa kwetu. Wakenya wanaojitambua vizuri ndio maana mabadiliko kwao yanawezekana.
Unajua sababu ya kuunda cheo cha naibu waziri mkuu?Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.
Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mmojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"
Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?
Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.
Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.
Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.
Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.
Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.
Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.
Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.
Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Chawa wao wanaangalia upepo unakovuma! Wako kimaslahi.Chawa sijui wako upande upi π π€£ π
ndio nini hiyo?Hii hii yenu kuna vita kali kati ya Sukuma gang vs makundi mengine
Limekuwa genge la mbwea (gang of wolves)Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.
Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mmojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"
Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?
Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.
Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.
Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.
Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.
Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.
Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.
Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.
Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!