Naomba mnistue watakapoanza kujadili mambo mawili tu.
1.Kuondoa kinga za kutohoji matokeo ya uchaguzi wa Raisi mahakanani
2.Adhabu atakayopewa mtu yeyote anayevuruga uchaguzi. Kwa namna yoyote kama kuiba kura,udanganyifu n.k
Kwa Sasa bora nifuatilie habari za AFCON tu.
.