CCM Kukubali Mjadala Katiba Mpya, Tumpongeze Rais Samia

CCM Kukubali Mjadala Katiba Mpya, Tumpongeze Rais Samia

Mbowe alivuruga mchakato kipindi cha Kikwete

Kikwete alikuwa na nia nzuri kabisa kwenye issue ya katiba

Sasa kipindi kikiwa Critical cha kutafuta katiba mpya Chadema wakaanzisha vurugu za kutaka nchi isitawalike

Wakihamasisha maandamani,migomo ya sekta muhimu kama walimu ,madaktari ,delta za usafirishaji no
Katika vya vya wajinga duniani Chadema inaongoza .Nchi zote za vyama vya upinzani vinavyojitambua hujikita agenda kuu moja basi.Walitaka katiba mpya ok Kikwete akasema hamna shida vipate.kuona wameshinda hiyo hoja Chadema hawakutulia kuwa tutulie upate katiba kama Kenya walivyotulia na nchi kibao.Wao wakaanza vurugu nchi isitawalike ndipo.CCM ikaona wajinga hawa ndio ikamleta Magufuli akawanyoosha barabara na katiba mpya akaitupa huko kwenye shelf

Swali CCM imeridhia katiba mpya ipatikane mtatulia au mtaluanzisha ili mlazimishe CCM imlete Magufu6 mwingine 2025?
Kwa nini hakutulia kipindi cha Kikwete mkampa hard time wakati yuko kwenye mchakato wa kuleta katiba mpya?

Sasa walau Chadema mba utulivu.Katiba mpya huhitaji utulivu sio vurugu

Kwa utulivu huu wa sasa itapatikana Chadema msihofu inakuja
Umeamua kutuvuruga tu hapa naona
 
Mbowe ndiyo alikuwa Mwenyekiti wa bunge la Katiba?
Mbowe alichofanya ni kuvuruga nje ya bunge la katiba huku mchakato unaenda wao wanatisha migomo ya madaktari watu wanakufa kama kuku mahosputalini,migomo mabasi nk

Environment kama hiyo ulitarajia katiba mpya itoke? Ndio maana sababu wabunge wengi walikuwa CCM wakaona isiwe shida nini kwa jino pendekezwa ya warioba ikatupiliwa mbali sababu ya vituko Chadema walifanya wakati mchakato wa katiba mpya uko vizuri

Nadhani Walau kidogoo Chadema wametulia yaweza ipatikane katiba mpya lakini sio kwa environment ile Chadema walitengeneza.
 
Wakati fulani mwaka 2018, aliyekuwa rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akizungumza katika kongamano la kujadili hali ya siasa na uchumi alisema

"SERIKALI YAKE HAINA MPANGO WA KUANZISHA UPYA MCHAKATO WA MAGEUZI YA KIKATIBA KWA SABABU KUNA MASUALA MENGINE YENYE KIPAUMBELEKWA SERIKALI"

Rais Magufuli alisema wazi kuwa hategemei kutenga fedha kwa ajili ya watu kula wakakae bungeni kujadili katiba, na akasisitiza kuwa hata kama kuna mtu (Wahisani) wako tayari kuipa Tanzania fedha kwa ajili ya mchakato wa Katiba basi pesa hizo zitolewe zikajenge Reli.

Huo ndio ulikuwa msimamo wa Hayati Dkt Magufuli ambapo ni dhahiri kuwa aliamini Katiba sio mwarubaini wa kila kitu

Miaka takribani Minne baadae, mwaka 2022, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kila jitihada kurejesha hali ya utengamano wa Kitaifa. Amekutana na makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani ambao wengine walikimbia nchi na wengine walikuwa gerezani

Kubwa zaidi ni utayari wake wa kuruhusu mawanda ya kidemokrasia kuendelea kutanuka pamoja na Serikali na Chama chake CCM kuweka wazi kuwa milango ya mchakato wa kupata Katiba Mpya iko wazi hivyo kwa sasa itafutwe namna bora ya kufufua mchakato wa kupata katiba mpya ambao ulianza mwaka 2011 na kukwama mwaka 2014

Pamoja na mengi lakini kwa hili Rais Samia Suluhu Hassan anastahili pongezi kwani ni wazi angeweza kuwa na maamuzi kama ya mtangulizi wake lakini yeye ameamua kuruhusu kuanza kwa mchakato huu muhimu kwa Taifa na ni matumaini yetu, Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu, itatupatia Katiba Mpya Watanznia.

Mungu Ibariki Tanzania.
View attachment 2269674
Awa ni wahuni tu kama wana nia kwanini wasubiri budget ipite? Ata Kikwete alitumia gia iyo ili amalize muda wake.
 
Wakati fulani mwaka 2018, aliyekuwa rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akizungumza katika kongamano la kujadili hali ya siasa na uchumi alisema

"SERIKALI YAKE HAINA MPANGO WA KUANZISHA UPYA MCHAKATO WA MAGEUZI YA KIKATIBA KWA SABABU KUNA MASUALA MENGINE YENYE KIPAUMBELEKWA SERIKALI"

Rais Magufuli alisema wazi kuwa hategemei kutenga fedha kwa ajili ya watu kula wakakae bungeni kujadili katiba, na akasisitiza kuwa hata kama kuna mtu (Wahisani) wako tayari kuipa Tanzania fedha kwa ajili ya mchakato wa Katiba basi pesa hizo zitolewe zikajenge Reli.

Huo ndio ulikuwa msimamo wa Hayati Dkt Magufuli ambapo ni dhahiri kuwa aliamini Katiba sio mwarubaini wa kila kitu

Miaka takribani Minne baadae, mwaka 2022, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kila jitihada kurejesha hali ya utengamano wa Kitaifa. Amekutana na makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani ambao wengine walikimbia nchi na wengine walikuwa gerezani

Kubwa zaidi ni utayari wake wa kuruhusu mawanda ya kidemokrasia kuendelea kutanuka pamoja na Serikali na Chama chake CCM kuweka wazi kuwa milango ya mchakato wa kupata Katiba Mpya iko wazi hivyo kwa sasa itafutwe namna bora ya kufufua mchakato wa kupata katiba mpya ambao ulianza mwaka 2011 na kukwama mwaka 2014

Pamoja na mengi lakini kwa hili Rais Samia Suluhu Hassan anastahili pongezi kwani ni wazi angeweza kuwa na maamuzi kama ya mtangulizi wake lakini yeye ameamua kuruhusu kuanza kwa mchakato huu muhimu kwa Taifa na ni matumaini yetu, Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu, itatupatia Katiba Mpya Watanznia.

Mungu Ibariki Tanzania.
View attachment 2269674
Mama anaupiga mwingi Sana Kila kukicha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe alichofanya ni kuvuruga nje ya bunge la katiba huku mchakato unaenda wao wanatisha migomo ya madaktari watu wanakufa kama kuku mahosputalini,migomo mabasi nk

Environment kama hiyo ulitarajia katiba mpya itoke? Ndio maana sababu wabunge wengi walikuwa CCM wakaona isiwe shida nini kwa jino pendekezwa ya warioba ikatupiliwa mbali sababu ya vituko Chadema walifanya wakati mchakato wa katiba mpya uko vizuri

Nadhani Walau kidogoo Chadema wametulia yaweza ipatikane katiba mpya lakini sio kwa environment ile Chadema walitengeneza.
Rubbish
 
Awa ni wahuni tu kama wana nia kwanini wasubiri budget ipite? Ata Kikwete alitumia gia iyo ili amalize muda wake.
Bajeti hujadiliwa na kupitishwa kila baada ya mwaka mmoja, kuna uhusiano gani kati ya bajeti na hoja iliyopo mezani, au wewe unadhani ni lazima ipitishwe kwenye mwaka ujao wa fedha?
 
Wakati fulani mwaka 2018, aliyekuwa rais wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akizungumza katika kongamano la kujadili hali ya siasa na uchumi alisema

"SERIKALI YAKE HAINA MPANGO WA KUANZISHA UPYA MCHAKATO WA MAGEUZI YA KIKATIBA KWA SABABU KUNA MASUALA MENGINE YENYE KIPAUMBELEKWA SERIKALI"

Rais Magufuli alisema wazi kuwa hategemei kutenga fedha kwa ajili ya watu kula wakakae bungeni kujadili katiba, na akasisitiza kuwa hata kama kuna mtu (Wahisani) wako tayari kuipa Tanzania fedha kwa ajili ya mchakato wa Katiba basi pesa hizo zitolewe zikajenge Reli.

Huo ndio ulikuwa msimamo wa Hayati Dkt Magufuli ambapo ni dhahiri kuwa aliamini Katiba sio mwarubaini wa kila kitu

Miaka takribani Minne baadae, mwaka 2022, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kila jitihada kurejesha hali ya utengamano wa Kitaifa. Amekutana na makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani ambao wengine walikimbia nchi na wengine walikuwa gerezani

Kubwa zaidi ni utayari wake wa kuruhusu mawanda ya kidemokrasia kuendelea kutanuka pamoja na Serikali na Chama chake CCM kuweka wazi kuwa milango ya mchakato wa kupata Katiba Mpya iko wazi hivyo kwa sasa itafutwe namna bora ya kufufua mchakato wa kupata katiba mpya ambao ulianza mwaka 2011 na kukwama mwaka 2014

Pamoja na mengi lakini kwa hili Rais Samia Suluhu Hassan anastahili pongezi kwani ni wazi angeweza kuwa na maamuzi kama ya mtangulizi wake lakini yeye ameamua kuruhusu kuanza kwa mchakato huu muhimu kwa Taifa na ni matumaini yetu, Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu, itatupatia Katiba Mpya Watanznia.

Mungu Ibariki Tanzania.
View attachment 2269674CCM hatutaki the so called katiba, mnataka uhuru wa kisiasa na tume ili MBOWE awe raisi? never!
 
Back
Top Bottom