CCM, kula nyama choma sio kutatua kero za wananchi!

CCM, kula nyama choma sio kutatua kero za wananchi!

CCM inawafikia wananchi kwa vitendo, makamanda mko twiraa na instaa mnapambana. Ikulu mtaisikia tuu 😁😁
Wapinzani wakijaribu kufikia watu mara moja vyombo vya dola vinaagizwa kuwakamata kuwa sio muda wa siasa bali kujenga nchi.
 
Back
Top Bottom