Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadhalilisha sana wanawake wenzie ukizingatia yeye ni kiongozi
Malaya akaweke shada kaburini? Kahaba? Hawara? Apewe nafasi? Kmmk kweli yulee kahaba. Ndoa ni moja tu kanisa katoliki. Na wamemchekea kweli. Alitakiwa kulishwa mitama. Kulala na mume wa mtu ndo heshima?Watakuwa wanamuonea. Kama aliishi na marehemu kwa miaka miwili alitakiwa apewe nafasi ya kuweka shada. Kwa kumfungia ndio wamelikuza jambo bila sababu. Walitakiwa kuhakikisha tu kuwa mpendwa wao anazikwa kwa heshima bila vurugu. Kitendo cha kufungq geti ndicho kilicho sababisha vurugu. Na CCM hawana sababu ya kuingilia maana ni mambo ya kifamilia.
Hii ndoa inaonekana ilikuwa tayari ICU wakati umauti unamkuta jamaa. Kilichokosekana ni kijikaratasi tu.
Amandla. .
Itakua huyo mbwa malaya catherine ndo alivuruga hiyo ndoa.....Watakuwa wanamuonea. Kama aliishi na marehemu kwa miaka miwili alitakiwa apewe nafasi ya kuweka shada. Kwa kumfungia ndio wamelikuza jambo bila sababu. Walitakiwa kuhakikisha tu kuwa mpendwa wao anazikwa kwa heshima bila vurugu. Kitendo cha kufungq geti ndicho kilicho sababisha vurugu. Na CCM hawana sababu ya kuingilia maana ni mambo ya kifamilia.
Hii ndoa inaonekana ilikuwa tayari ICU wakati umauti unamkuta jamaa. Kilichokosekana ni kijikaratasi tu.
Amandla. .
Mkuu..malaya wote wapo CCM.Huyu mjinga analipwa 12,000,000 kwa mwezi na posho ya 340,000 ajili ya kugombea waume za watu? jinga kabisa hivi viti maalum vifutwe kutwa wanatafuta mabwana za watu.
Mkuu iwapi hiyo clip nasi tushangae
Mkuu iwapi hiyo clip nasi tushangae
Mwelezeee vizuri huyo. Maana inashangaza. Hata anveishi na huyo malaya kwa miaka kumi bado ni kahaba na hawara tu. Nashangaa miaka mitatu ameitoa wapi kwanza. Yet ndoa haijavunjwa. Mungu huwa ni mkali sana hasa kwa hawa malaya wa mjini. Sasa aendelee kubaki na hizo hati kimkute kitu. Na anapasqa kufunguliwa mashtaka kw akuinvade makazi binafsi ya familia za watu na kufanya uharibifu. Na hizo hati tunaenda kuchukua rb zimeibiwa halaf tukapige pection hapo kwake aseme kazitoa wapi. Akisema amepewa na marehemu atueleze ni sheria gani zinamrugusu kuwa na mali rena hatimiliki za mume wa mtuHujui ulisemalo. Huyo bwana kahama nyumbani mwaka Jana baada ya matokeo ya Kura. Na lilikua anakata roho alikuwa anaomba aitiwe mke wake aziza na alkua anamwonba msamaha, sijahadithiwa nilikuepo haponkwa Dr mohamed alipoingizwa kwenye chumba Cha sindano.
Lakini ni kwanini wale wapambe wa mbunge wavinje Ile gate, waingie msibani kwa nguvu, wamekuta ibada inaendelea hawakuheshimu Ile ibada mbunge akaweka shada... Halafu wakawa wanasema ccm hoyee na wapo na viongozi wa UWT? Kwanini waliingizwa mambo ya chama kwenye mambo binafsi???
Hatuna huo utamaduni wa kujiuzulu/kuwajibika hasa CCMKimsingi anatakiwa kujihuzulu au kuvuliwa ubunge ameleta aibu kubwa sn tena ya kipumbavu
Nashukuru Mkuu nimeipata na kushuhudia
dah kwahyo tusio na twitter tumekosa uhondo [emoji848]
Ni kweli, ndiyo sababu covid 19 waliona CDM hapawafaiMkuu..malaya wote wapo CCM.