CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Watakuwa wanamuonea. Kama aliishi na marehemu kwa miaka miwili alitakiwa apewe nafasi ya kuweka shada. Kwa kumfungia ndio wamelikuza jambo bila sababu. Walitakiwa kuhakikisha tu kuwa mpendwa wao anazikwa kwa heshima bila vurugu. Kitendo cha kufunga geti ndicho kilichosababisha vurugu. Na CCM hawana sababu ya kuingilia maana ni mambo ya kifamilia.

Hii ndoa inaonekana ilikuwa tayari ICU wakati umauti unamkuta jamaa. Kilichokosekana ni kijikaratasi tu.

Amandla. .

Kabisa!
 
Msiba mnazuia wengine kuhudhuria? Yaani mtu anazuiwa kwenda kuzika? Kha!
 
Hujui chochote, unalazimisha kumtetea Catherine Magige kwa mambo ya kipumbavu.

Ndoa ni taasisi ya kiimani, kisheria na kijamii. Aziza ndio mjane wa marehemu, anayo haki ni vipi mumewe azikwe. Suala la mazishi ni suala la kifamilia, huwezi kuwaamulia nani aweke shada la maua kwenye kaburi la marehemu. Wenye familia ndio wanaamua. Magige hakupewa hiyo nafasi, amekwenda kuvamia taratibu za mazishi ya watu. Ni uhuni wa kiwango cha juu sana.

Haijarishi marehemu alikuwa na malaya wangapi, lakini imani yake, sheria na jamii ilikuwa inamtambua kuwa ana mke mmoja tu wa ndoa, ambaye ni Aziza. Magige anakiri alikuwa mchepuko (kahaba) wa marehemu. Sasa michepuko inavamia hadi makaburini!!!
Sheria ya ndoa ya mwaka 1979 inampa mke au mume haki ya kuamua ni wapi mwenzi wake azikwe na nani awepo kwenye Mazishi. Caty alizidisha hakupaswa kulazimisha kwani ni hawara tu
 
Huyu Shaka na CCM wameonyesha udhaifu mkubwa japo wanaweza kudhani wamefanya jambo la maana. Catherine ni mfiwa na kilichotokea kilipaswa kulaaniwa. Kwanini azuiwe kumzika 'mtu wake? Hapa CCM walitakiwa wakae kimya kwa kuwa wanataka kuingilia maisha binafsi ya Catherine. At this juncture huwezi kum label Catherine kuwa ni mvamizi! msiba hauna mvamizi...
Ni mvamizi Period!
 
Bora kwa hili aisee. Huyu bibi kizee alifikiri hagusiki. Mwanamke hana maadili mazuri kabisa huyu. Shangingi mkubwa. Yeye anawazaga wanaume tu saa zote. Hasa hao waume za watu. Hapo msibani alikuja na genge la watu, kutafuta shari na umwamba tu.
 
Wasisaahau pia mbunge wa arusha mjini , wa kuchaguliwa na wananchi alikuwa na yeye kwenye mdundiko wa kugombea BWANA ....safaari hii wananchi wa arusha wamepatikaana na mcheza vigodoro ..wanaume wa arusha ..oyeee
 
Msituletee mila za mashoga hapa, wenye kudai wana ndoa za mke mmoja ndoa zimewashinda wanaoana jinsia moja sasa na kulawiti hadi watoto. Sisi ni waafrika na mila zetu polygamy ni sehemu ya utamaduni wetu. Wivu wa uke wenza hadi makaburini!! ndoa ilishakufa hiyo mke halali my foot!! Marehemu aliishi na huyo Magige ni ujinga kumzuia kuingia msibani.
We makalio nn? Wewe aliyekusema ma ndoa za wake 72 peponi hapa nani? Hao wanne wenyewe mnatosheka? Koma tena koma. Usilete upumbavu hapa. Hizo za wake wanne sindo mna kazi ya kuwekeana taatabu mara kutupiana majini, etc? Na hii mada hatuko hapa kukashifiana dini kuwa na adabu. Ufirauni kwenu ndo mumeujaza. Sasa ni hivii? Ndoa ni moja takatifu. Makahaba mumepigwa pigo la kiparoko... makahaba nyie. Ya klyn juu ya ule wosia ni makahaba nyie nyie mulijaa mitandaoni kumtetea. Kapigwa kata funua sasa hivi kimyaaaa sembuse huyu hawara?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mbunge wa viti maalum, Catherine Magige.

Mbunge huyo jana Alhamisi Mei 27, 2021 alikwenda makaburini yalikokuwa yakifanyika mazishi ya mfanyabiashara Kuzula Madoda inayedaiwa kuwa ni mchumba wake. Madoda alifariki dunia Mei 24, 2021 na ameacha mke, Aziza Msuya na watoto.

Kitendo cha Catherine kwenda makaburini kiliibua hali ya sintofahamu kutokana na watu waliokuwa naye kuvunja geti na kuingia katika makaburi hayo ya familia.

Taarifa ya chama hicho iliyotolewa na katibu wa itikadi na uenezi, Shaka Hamdu Shaka leo Ijumaa Mei 28,2021 inaeleza kuwa CCM inaheshimu katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.

"Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na katiba ya CCM na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM," inaeleza taarifa hiyo.

PIA, SOMA=> Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

=====

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa UWT Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalum Catherine Magige.

CCM inaamini katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali, badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.

Chama kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na Katiba ya CCM, na kuchunguza kwa kina ili kuchukua hatua za kimaadili kwa wote watakaothibitika kuwa sehemu ya matukio yaliyojenga kukiuka kwa katiba, kanuni na utamaduni wa kuheshimu na kuheshimiana uliojengeka ndani ya CCM.

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
28 Mei 2021
Wamechukizwa na mbunge kuvamia "makaburini" ila wanachekelea 'ndugai" kuvunja Katiba!
 
Msibani kuna mwaliko kama harusini ebo!!!!! Wachukuliwe hatua kwanza waliomzuia kuingia msibani na kutupa shada lake la maua. Unamzuiaje msibani mtu aliyekuwa akilala na marehemu kitanda kimoja kisa hana kijikaratasi wkt marehemu mwenyewe anamtambua.!!!! Ebo!!! Wanawake mkiachwa achikeni mapenzi hayalazimishwi kisa umezaa na mwanaume na una cheti cha Padiri!!!! Ukiwa mjeuri utaachwa tu au utaongezewa mke mwenzako, na polygamy is part and parcel of our culture, wivu kwa mke mwenza hadi msibani siyo ustaarabu.
Kumbe hujui sheriaaaaa.... yaani nikasema sitaki nikuone kwenye msiba kwangu tena kwneye premises zangu amd thats it. Yaan sheria zinanilinda. Usidangamywe. Ni ule uafrica wetu tu kuchukuliaga poa. Yaan nikisema sitaki hata unisogelee mita 100 karibu yangu kwasababu kadhaa basi u are in trouble. Same applies to msiba. Hilo ni jambo la kifamilia. Yaan nina maamuzi nani na nani siwataki na nani na nani wawepo. Usijidanganye kwa vimaneno vya uswazi. Kwamfano wale kina magige wangepigwa ama kuumizwa unadhan kuna ambaye angefanywa lolote? Maana iko wazi inajulikana kuna mgogoro wa kimaslahi. Usidanganyike. Utajakatwa na mapanga siku shauri yako
 
Back
Top Bottom