CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Serikali nijuavyo ina ukubali "mfumo zinaa" maana mahawara wakikiwa pamoja miezi kadhaa (sina uhakika )wanaheesabika ni wake wa ndoa Kiserikali.

Kama ndio hivyo, kwanini na yeye si mke Kiserikali? CCM si ndio yenye dhamana ya kuendesha serikali, sasa mnapatwa mchechetu wa nini akinsa Shaka?


Kubalini tu matokeo au ufuteni mfumo zinaa uliopo nchini.
Wawe sio mke Wala mume wa MTU wakikaa miezi sita wanahesabika ni wanandoa. Lakini kama mmoja kati yao ama wote wanandoa especially za kikristu hii SHERIA haiwi applicable.

Nadhani hii iliwekwa kulinda maslah yao na watoto kama watatokea. Sababu unakuta wanaishi wanatafuta Mali wanazaa na mtoto halafu mmoja haswa wanaume anachukua kila kitu anaenda kuoa mtu mwingine na kutekeleza mtoto/watoto.
 
Kilchompata Catherine kinaweza mpata mwanamke yeyote yule, hata Mimi nilianzisha mahusiano na mwanaume aliniambia Hana mke walishaachana. Na akawa haishi nae. Nikiwa na mimba ya miezi Saba mke alikuja kwangu na vyeti vya ndoa,,, mke ni mkatoliki, mume mkatoliki na Mimi mkatoliki.
Haraka Sana nilivunja hayo mahusiano simply because
1. nilijua kwa Sheria ya dini yetu ni ngumu Mimi KUISHI kwa amani.
2. Nilifikiria mistakabal wa watoto na familia ya yule baba.
3. Niliona ujinga Mimi KUISHI na mwanaume ambae ndoa yake Bado haijavunjika na mkewe Bado anampenda, na nliwaza mbali hivi akifa ntakua mgeni wa Nani mimi??? Mpaka Leo yule mwanamke tunaheshimiana na anamtambua mwanangu na wanae wananiheshimu na nilimpata mwanaume wangu ambae sio mume wa MTU na maisha yanasonga.

Sasa najiuliza kama Mimi raiya wa kawaida niliweza kufanya hivi, mbunge kwanini alishindwa kujitambua??? Na mbaya zaidi yeye ni mbunge wa Wanawake,,, yeye analo JUKUMU la KUTETEA WANAWAKE na maslahi yao,,, sasa amefanya nini??? Na sio kwamba hajijui, Kuna video inasambaa anaomba Mungu ili awe official Mrs madodo, anakua kabisa yeye sio official wife, why alete taharuki misibani??
Kibaya zaidi kinachonikera Mimi ni wale viongozi wa Wanawake wakiongozwa na mwenyekiti walishindwa kutumia busara na hekima na kufanya mambo kistaarabu?? Je waliwawaza wale watoto wadogo wa marehemu pale msibani??? JASMIN BACHU TOKA HADHARAN UTUTAKE RADHI WANAWAKE WA ARUSHA.
Vipi KUHUSU ile ibada??? Kwa nini hawakuheshimu?? Na mbunge kama anampenda marehemu na alitaka azikwe kwa heshima anafahami SHERIA za kanisa katoliki?? Hawaziki MTU MWENYE mitala, YAni they are very strict kwenye hili, sasa anajuaje waliogopa kumshirikisha Ili marehem azikwe kwa heshima???
Kamwe usiskilize blabla za mwanaume eti oo nimeachana na mke wangu kisa malaya na WEWE unashkilia Hicho unajiaminisha kwamba HUYU wangu.
CATHERINE NI MBUNGE MTUNGA SHERIA, WAKATI MWINGINE ANAWAJIBIKA KUSIMAMIA SHERIA. KUISHI NA MUME WA MTU TENA MWENYE NDOA YA KIKATOLIKI AMBAYO HAIVUNJIKA HAKUKUFANYI UWE MKE KAMILI NA UWE NA HAKI YA KUMZIKA MUME AKIFA.
Nimesoma maelezo yako nimeyapenda sana.. hongera mnoo
 
NAONA WATANZANIA WENGI WANAAMINI KUWA NADHARIA YA NDOA NI MIEZI SITA BADALA YA MIAKA MIWILI.
 
Wawe sio mke Wala mume wa MTU wakikaa miezi sita wanahesabika ni wanandoa. Lakini kama mmoja kati yao ama wote wanandoa especially za kikristu hii SHERIA haiwi applicable.

Nadhani hii iliwekwa kulinda maslah yao na watoto kama watatokea. Sababu unakuta wanaishi wanatafuta Mali wanazaa na mtoto halafu mmoja haswa wanaume anachukua kila kitu anaenda kuoa mtu mwingine na kutekeleza mtoto/watoto.
Wewe hata huyo mnaesema "mke" wa kwanza hakuna ndoa hapo kwa sheria za Kiislaam, nimechukulia kuwa Aziza alikuwa Muislam na Uislam hauruhusu mwanamke wa Kiislaam kuollewa na asie Uislam hususan Myahudi na Mkristo na naamini na Wayahudi na Wakristo nao ni hivyo hawaruhusiwi kuoa ambao si wa dini zao.


Kwa maana hiyo, zote hizo ni zinazaa Kiislaam na serikali imeridhia nazo kwa hiyo sasa wasijidai, au wazifute sheria zao wazifute sheria za dini lijulikane moaj.

Tusirembe wala tusijazane ujinga kwenye hili.

Hapo watu wanaoneshana nani mwenye dhambi zaidi, hakuna lolote ni wazinzi tu wote hao.
 
Kilchompata Catherine kinaweza mpata mwanamke yeyote yule, hata Mimi nilianzisha mahusiano na mwanaume aliniambia Hana mke walishaachana. Na akawa haishi nae. Nikiwa na mimba ya miezi Saba mke alikuja kwangu na vyeti vya ndoa,,, mke ni mkatoliki, mume mkatoliki na Mimi mkatoliki.
Haraka Sana nilivunja hayo mahusiano simply because
1. nilijua kwa Sheria ya dini yetu ni ngumu Mimi KUISHI kwa amani.
2. Nilifikiria mistakabal wa watoto na familia ya yule baba.
3. Niliona ujinga Mimi KUISHI na mwanaume ambae ndoa yake Bado haijavunjika na mkewe Bado anampenda, na nliwaza mbali hivi akifa ntakua mgeni wa Nani mimi??? Mpaka Leo yule mwanamke tunaheshimiana na anamtambua mwanangu na wanae wananiheshimu na nilimpata mwanaume wangu ambae sio mume wa MTU na maisha yanasonga.

Sasa najiuliza kama Mimi raiya wa kawaida niliweza kufanya hivi, mbunge kwanini alishindwa kujitambua??? Na mbaya zaidi yeye ni mbunge wa Wanawake,,, yeye analo JUKUMU la KUTETEA WANAWAKE na maslahi yao,,, sasa amefanya nini??? Na sio kwamba hajijui, Kuna video inasambaa anaomba Mungu ili awe official Mrs madodo, anakua kabisa yeye sio official wife, why alete taharuki misibani??
Kibaya zaidi kinachonikera Mimi ni wale viongozi wa Wanawake wakiongozwa na mwenyekiti walishindwa kutumia busara na hekima na kufanya mambo kistaarabu?? Je waliwawaza wale watoto wadogo wa marehemu pale msibani??? JASMIN BACHU TOKA HADHARAN UTUTAKE RADHI WANAWAKE WA ARUSHA.
Vipi KUHUSU ile ibada??? Kwa nini hawakuheshimu?? Na mbunge kama anampenda marehemu na alitaka azikwe kwa heshima anafahami SHERIA za kanisa katoliki?? Hawaziki MTU MWENYE mitala, YAni they are very strict kwenye hili, sasa anajuaje waliogopa kumshirikisha Ili marehem azikwe kwa heshima???
Kamwe usiskilize blabla za mwanaume eti oo nimeachana na mke wangu kisa malaya na WEWE unashkilia Hicho unajiaminisha kwamba HUYU wangu.
CATHERINE NI MBUNGE MTUNGA SHERIA, WAKATI MWINGINE ANAWAJIBIKA KUSIMAMIA SHERIA. KUISHI NA MUME WA MTU TENA MWENYE NDOA YA KIKATOLIKI AMBAYO HAIVUNJIKA HAKUKUFANYI UWE MKE KAMILI NA UWE NA HAKI YA KUMZIKA MUME AKIFA.
Aseee[emoji848]

Una hekima sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mbona msiba wa Mzee wetu JPM watu walivunja geti na kulaza nguo barabarani. Wala hakuna chama kilichochukizwa?

Tuache double standard
Acheni watu waonyeshi hisia zao kwa mpendwao wao aliyewaacha.
 
“Hell has no fury like a woman scorned”

In this instance both women think their actions are justified in their own rights.

Tells you akili za wanawake waachie wenyewe.
 
Mke wa marehemu alivyotupa lile shada la maua la Catherine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu na waume zao bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu tu. Wakati akiwa hai mbona alitengana na mme.

Wanawake jueni ukisusa wenzako wanakula. Ningekuwa mi marehemu ningeinuka nimukatalie Unafiki wake wa kunipenda nikiwa marehemu
 
Wewe hata huyo mnaesema "mke" wa kwanza hakuna ndoa hapo kwa sheria za Kiislaam, nimechukulia kuwa Aziza alikuwa Muislam na Uislam hauruhusu mwanamke wa Kiislaam kuollewa na asie Uislam hususan Myahudi na Mkristo na naamini na Wayahudi na Wakristo nao ni hivyo hawaruhusiwi kuoa ambao si wa dini zao.


Kwa maana hiyo, zote hizo ni zinazaa Kiislaam na serikali imeridhia nazo kwa hiyo sasa wasijidai, au wazifute sheria zao wazifute sheria za dini lijulikane moaj.

Tusirembe wala tusijazane ujinga kwenye hili.

Hapo watu wanaoneshana nani mwenye dhambi zaidi, hakuna lolote ni wazinzi tu wote hao.
Dini ya kibaguzi .

Sio ajabu hata huko kwa Allah mmebaguliwa kwa jinsia

Kuna walioahidiwa bikra 72 , wengine hawajapewa ahadi yeyote

Tafakari!
 
Watanzania mnapenda udaku sana . Aliyefariki ni rafiki yangu anaitwa kuzula Madoda pamoja na kusoma naye Ilboru namjua toka tukiwa Primary Arusha. Huyu hakuwa mchumba ni mke wake na walikuwa wanakaa pamoja. Aliachana na mke wake wa zamani na kumuoa huyu mbunge na walikuwa wana kaa pamoja Dodoma sasa kufariki utamkatazaje mtu kama huyu kumwaga mpendwa wake! . Kuzula hakuamisha mali maana alikuwa na watoto lakini hakuna sababu ya kufungiwa gate kwa huyu mbunge kwasababu na maamuzi ya Kuzula mwenyewe. Alikuwa mtu mzima hivyo wajue maamuzi ni ya kuzula kumuoa huyu mbunge sasa Watanzania wanapenda drama kama vile alikuwa mchepuko!
Tumwache marehemu apumzike mahali pema peponi

Nilidhani wewe unatuletea facts hapa,kumbe unaendeleza blah blah tu.Unataka tusimwamini Dada yake aliyehojiwa na kusema Marehemu hakuwahi toa talaka kwa mkewe wa Ndoa tuje tukuamini wewe ni hadithi yako ya kusoma nae Ilboru?

Kama kweli wewe ni msomi tena wa Ilboru naomba kukuuliza,unajua Ndoa za Kikristo zilivyo? Tangu lini mtu akaoa mke mwingine na huyo mke akawa halali wakati hajawahi toa talaka hata kiserikali kwa mkewe wa Ndoa ya Kanisani? Unatuletea blah blah za kukaa na Kimada ndiyo uhalalishe kuwa alikuwa mkewe? Hata angekaa nae miaka 10,as long as hakuwahi toa talaka kwa Mkewe wa Ndoa ya Kanisani huyo Magige anabaki kuwa Hawara pro Max.
 
Wewe hata huyo mnaesema "mke" wa kwanza hakuna ndoa hapo kwa sheria za Kiislaam, nimechukulia kuwa Aziza alikuwa Muislam na Uislam hauruhusu mwanamke wa Kiislaam kuollewa na asie Uislam hususan Myahudi na Mkristo na naamini na Wayahudi na Wakristo nao ni hivyo hawaruhusiwi kuoa ambao si wa dini zao.


Kwa maana hiyo, zote hizo ni zinazaa Kiislaam na serikali imeridhia nazo kwa hiyo sasa wasijidai, au wazifute sheria zao wazifute sheria za dini lijulikane moaj.

Tusirembe wala tusijazane ujinga kwenye hili.

Hapo watu wanaoneshana nani mwenye dhambi zaidi, hakuna lolote ni wazinzi tu wote hao.
Uislamu unawabagua wakristo na wayahudi


Ila unawakubali wabudha,washinto,wahindu,wasatanism,na wapagani

Sio ndio?
 
Watakuwa wanamuonea. Kama aliishi na marehemu kwa miaka miwili alitakiwa apewe nafasi ya kuweka shada. Kwa kumfungia ndio wamelikuza jambo bila sababu. Walitakiwa kuhakikisha tu kuwa mpendwa wao anazikwa kwa heshima bila vurugu. Kitendo cha kufunga geti ndicho kilichosababisha vurugu. Na CCM hawana sababu ya kuingilia maana ni mambo ya kifamilia.

Hii ndoa inaonekana ilikuwa tayari ICU wakati umauti unamkuta jamaa. Kilichokosekana ni kijikaratasi tu.

Amandla. .
HAKI ZA WANAWAKE sijui mko wapi kumtetea Magige asionewe. Kwani sheria inasemaje mwanamke akikaa na mwanaume zaidi ya miezi 6
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti rafiki yake. Hebu tuambie hiyo ndoa ilifungiwa wapi na lini. Ujue unajidhalilisha. Rafiki gani usiyejua hata ABCD

Kanichekesha huyu,nilidhani anatuletea facts,kumbe ni hadithi za kusoma na Marehemu Ilboru [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sawa wewe amini simjui maana ukweli haufurahishi wambea na wapenda drama amini unavyo amini. Kuzula alikuwa anakaa wapi wakati amefariki. Tumetoa mamilioni ya pesa tumechangisha zaidi watu hamsini na familia inatufahamu sisi marafiki wa utotoni namjua toka 1987 wewe endelea na movie yako

Toa hata Mabilion ya pesa bado haihalalishi hizi blah blah zako. Btw hapa hatuhitaji hata kujua ulichangia shilingi ngapi maana siyo mada husika,hapa tunaongelea Mke halali Vs Hawara Pro Max.
 
Dini ya kibaguzi .

Sio ajabu hata huko kwa Allah mmebaguliwa kwa jinsia

Kuna walioahidiwa bikra 72 , wengine hawajapewa ahadi yeyote

Tafakari!
Ni majina tu ya kiislamu, mume Omary na mke anaitwa Aziza; hila nadhani wote ni wakristo (not certain about the wife religion though).

Catherine ni public figure lakini ili swala ni private, mke wa marehemu anayo haki ya kutema nyongo na kimada (Catherine) alikuwa na haki ya kumzika mtu aliekuwa akiishi nae.

Kwa mila zetu ni mambo ya kifamilia kwa watu wa nje kufuatilia zaidi ni umbea tu.

Huyo Shaka if anything anatakiwa kuwaonya tu ugomvi wao usiende public tena; but both women have the right to grieve in their own rights.
 
Back
Top Bottom