Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Mtatumia nguvu nyingi Sana kusema uongo, sijui kwa faida GANI,,, hizo zako ni story za kufikirika na za uongo. Acha upuuzi na acha kudanganya watu. Ukweli ndo huo niliousema hapo, na Sina ukatibu na yeyote Kati yao, Sina interests, na sijahadithiwa
Naamini unachokisema maana umekisimia tangu mwanzo.[emoji1666][emoji1666]