Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.


 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya ccm kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali rais samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikua amalizie awamu ya magufuli kisha apumzike. Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na linauungwqji mkono mkubwa na vingunge wa ccm wa akiwamo mh spika aliejiuzulu Job ndungai jaji warioba, luaga mpina na kundi kubwa la wanaccm waojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.
maskini,
ramli na ushirikiana vinawatesa hadi warembo dah,

yaani unawamention useless persons ndani ya CCM kwa ujasiri hivyo? mbona ni dhahiri huo ni ushirkina madam!🐒
 
Kwa kweli Samia na supporters wake wamejitia aibu sana kwa kitendo chao cha kushindwa kuzuia hisia zao! Inafahamika huko ndani ya ccm mtu akipata madaraka fulani uwa anapenda aendelee kusalia madarakani kadri iwezekanavyo lakini angalau atafuata taratibu kimagumashi na hatimaye atafanikisha lengo lake lakini sivyo alivyofanya Samia na kundi lake wao wameonesha waziwazi tamaa yao ya madaraka na ving'ang'anizi kwa kupindisha taratibu hali hii inaweza kuleta tafrani ndani ya chama na kuibua uasi.
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya ccm kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali rais samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikua amalizie awamu ya magufuli kisha apumzike. Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na linauungwqji mkono mkubwa na vingunge wa ccm wa akiwamo mh spika aliejiuzulu Job ndungai jaji warioba, luaga mpina na kundi kubwa la wanaccm waojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.
Lissu na lema wasije kufanya kampeni za kumtukana mbowe kwa Samia, watakuwa kama Dr Slaa
 
Hoja nzito sana hii unakuja na majibu mepesi kiasi hichi wewe hufai kuwa chawa
hii sio hoja gentleman,
ni tetesi isiyo na athari zozote kisiasa na iliyopeteza maana baada ya kutajwa kwa very useless individuals ambao kwakweli hawana uelekeo kabisaa wala ushawishi ndani ya majimbo yao na jamii kwa ujumla.

this is nonsense tetesi gentleman 🐒
 
Kwa kweli Samia na supporters wake wamejitia aibu sana kwa kitendo chao cha kushindwa kuzuia hisia zao! Inafahamika huko ndani ya ccm mtu akipata madaraka fulani uwa anapenda aendelee kusalia madarakani kadri iwezekanavyo lakini angalau atafuata taratibu kimagumashi na hatimaye atafanikisha lengo lake lakini sivyo alivyofanya Samia na kundi lake wao wameonesha waziwazi tamaa yao ya madaraka na ving'ang'anizi kwa kupindisha taratibu hali hii inaweza kuleta tafrani ndani ya chama na kuibua uasi.
Takataka za zanzibar lazima ziondolewe serikalini haraka iwezekanavyo kabla ya rostam azizi kuangamiza nchi
 
Comrade tusaidie kunyoosha maelezo basi maana Ulichokiandika hapa bado hakijajibu hiyo hoja
gentleman,
hiyo sio hoja ni tetesi isiyo na chembe ya athari kisiasa ndani au nje ya CCM,

ni mshirikina na mpiga ramli pekee ndio anaweza kujiassemble nyuma ya wanasiasa hao waliopoteza uelekeo au kubababika na hao wanasiasa wasio na ushawishi kwenye majimbo yao na kwenye jamii pia.

it is completely nonsense article politically speaking 🐒
 
Kwa kweli Samia na supporters wake wamejitia aibu sana kwa kitendo chao cha kushindwa kuzuia hisia zao! Inafahamika huko ndani ya ccm mtu akipata madaraka fulani uwa anapenda aendelee kusalia madarakani kadri iwezekanavyo lakini angalau atafuata taratibu kimagumashi na hatimaye atafanikisha lengo lake lakini sivyo alivyofanya Samia na kundi lake wao wameonesha waziwazi tamaa yao ya madaraka na ving'ang'anizi kwa kupindisha taratibu hali hii inaweza kuleta tafrani ndani ya chama na kuibua uasi.
Hata mimi najiuliza wangepitisha mchakato wa kiini macho kama kawaida yao huku wakijua vyema aliyepo ataendelea kuwepo kulikuwa na shida gani?

Lakini pia natafakari, wenyewe ndio wanaojua hatari ya kuchukua hiyo risk ya mchakato wa kiini macho maana pengine wapinzani wake wamejipanga vyema hivyo angejaribu tu angepata upinzani mkali na kung’olewa.

Ukweli ulio wazi ni kwamba umafia walioufanya utawagharimu kwa kipindi kirefu na umeacha maumivu kwa walio wengi tofauti na wangefanya mchakato hata kama wapinzani wake wangeshindwa ila kungekuwepo na amani kwa vile tu walishiriki.
 
maskini,
ramli na ushirikiana vinawatesa hadi warembo dah,

yaani unawamention useless persons ndani ya CCM kwa ujasiri hivyo? mbona ni dhahiri huo ni ushirkina madam!🐒
Hata kama hauwakubali hao uliowataja ila haipendezi uwaite useless persons.

Najua hata viongozi wa sasa unaowakubali hauwakubali kwasababu unawapenda ila ni kwasababu ya vyeo vyao siku wakikaa pembeni nao utawaita hivihivi.
 
Hata kama hauwakubali hao uliowataja ila haipendezi uwaite useless persons.

Najua hata viongozi wa sasa unaowakubali hauwakubali kwasababu unawapenda ila ni kwasababu ya vyeo vyao siku wakikaa pembeni nao utawaita hivihivi.
Gentleman,
sio kwamba siwakubali, lahasha, nawapenda sana waTanzania wenzangu wote ispokua waliotajwa hawakubaliki wala hawaaminiki kwa jamii kwasabb ya tabia zao za uzushii, uongo, uchonganishi, chuki binafsi, tamaa walizonazo n.k.

na kwasabb hiyo tetesi hiyo iliyotolewa hapo juu ni nonsense na waliotajwa ni useless persons wasio na athari zozote kisiasa ndani na nje ya CCM imara na madhubuti sana kwa sasa chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi 🐒
 
Back
Top Bottom