Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
##DUUH, UPANDE WA KWANZA BINAFSI NIMEONA HAYA...👇🏻👇🏻

➡Hoja ya Kibajaji ilikuwa na mashiko na ikaungwa karibu na wajumbe wote..

➡ Mwenyekiti wa kikao ambaye ndiye mpendekezwa wa kugombea u - Rais kagoma/kakataa kujadiliwa...

➡ Kataka aongoze kikao mwenyewe ambacho AJENDA ni kumjadili yeye mwenyewe🤔🤔. Hii ni principle ya wapi?

➡ Lakini tuliofatilia kikao hicho siku hiyo, utashangaa jambo moja lililotokea siku hiyo. Kwamba, hata baada ya wajumbe karibu wote kuunga mkono hoja ya Kibajaji (akiwemo mkwe wa Samia mwenye kifua kipana, Mchengerwa), lakini wajumbe hao hao kama mazuzu vile waliunga hoja ya mwenyekiti wao Samia aliyekataa kujadiliwa na kikao😕😕😕!!

##KWA UPANDE WA PILI, NAMUONA NDUGAYI (Former National Assembly Speaker)

➡ Huyu jamaa anaonekana kukerwa sana na mwenendo wa serikali chini ya Samia kukopa kopa hovyo. Ni dhahiri hamkubali wala kumfagilia kabisa huyu Chura Kiziwi wa Kizimkazi, nchini Zanzibar...

➡ Kajitoa muhanga na kulikemea hili waziwazi...

➡ Haina shaka yoyote kuwa, uamuzi huu wa Job Ndugayi kulisema hilo waziwazi, sio wake binafsi bali ni mjadala uliofanyika pembeni kabla kundi kubwa la watu wazito na kukubaliwa kuwa "wewe ndiyo uliseme hili boldly wazuwazi..." na ikawa hivyo...

➡ Hilo ☝🏻☝🏻linaweza kuthibitishwa na kauli hii;

"..bajeti yetu ni 30+ trillions, kati ya hizo 10trillions hulipa madeni kila mwaka. Unakwenda kukopa 1.3trillions, unalipa 10trillions halafu watu wanapiga magofi pwaa pwaa. Akili hizo? Ipo siku nchi hii itapigwa mnada hii. Mbona mmenyamaza...!!?"

➡ Soma hayo maneno ya Ndugayi between the lines. Binafsi nakubali kabisa, something is going to happen. Unabii umeshatimia katika ulimwengu wa roho, sasa utathibitika ktk ulimwengu wa mwili na kila mtu ataona kwa macho yake, kwamba, Chura Kiziwi na chawa wake wafanye kila wawezalo na wawazalo kwenye vichwa vyao, lakini Mungu aliye hai, ameshamkataa HAWEZI KUENDELEA TENA KUWA KIONGOZI WA NCHI HII NZURI YA TANGANYIKA...!!
 
Gentleman,
sio kwamba siwakubali, lahasha, nawapenda sana waTanzania wenzangu wote ispokua waliotajwa hawakubaliki wala hawaaminiki kwa jamii kwasabb ya tabia zao za uzushii, uongo, uchonganishi, chuki binafsi, tamaa walizonazo n.k.

na kwasabb hiyo tetesi hiyo iliyotolewa hapo juu ni nonsense na waliotajwa ni useless persons wasio na athari zozote kisiasa ndani na nje ya CCM imara na madhubuti sana kwa sasa chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi 🐒
Mimi ni mwanaCCM mwenzio na mimi sio CCM maslahi ila nakipenda chama.Kwahyo nakueleza tu namna yakuheshimu viongozi wako wengine ambao hauwapendi.

Hiyo fursa unayoitumia yakutukana viongozi wako wengine usiowapenda mbele ya hadhara hii,ndio namna unavyowapa fursa wengine pia wasiowakubali viongozi wetu nao wawanange mbele ya hadhara hii hii.

Nasisitiza tena najua hauwakubali ila waheshimu kwa maneno ya staha hautapungukiwa kitu.
 
gentleman,
hiyo sio hoja ni tetesi isiyo na chembe ya athari kisiasa ndani au nje ya CCM,

ni mshirikina na mpiga ramli pekee ndio anaweza kujiassemble nyuma ya wanasiasa hao waliopoteza uelekeo au kubababika na hao wanasiasa wasio na ushawishi kwenye majimbo yao na kwenye jamii pia.

it is completely nonsense article politically speaking 🐒
Naona jamaa wamekugeuza beki, hapo ulipo unakaba tu maana hutaki ukweli upate support.
 
Gentleman,
sio kwamba siwakubali, lahasha, nawapenda sana waTanzania wenzangu wote ispokua waliotajwa hawakubaliki wala hawaaminiki kwa jamii kwasabb ya tabia zao za uzushii, uongo, uchonganishi, chuki binafsi, tamaa walizonazo n.k.

na kwasabb hiyo tetesi hiyo iliyotolewa hapo juu ni nonsense na waliotajwa ni useless persons wasio na athari zozote kisiasa ndani na nje ya CCM imara na madhubuti sana kwa sasa chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi 🐒
Muda ni rafiki wa kweli tunza maneno yako
 
##DUUH, UPANDE WA KWANZA BINAFSI NIMEONA HAYA...👇🏻👇🏻

➡Hoja ya Kibajaji ilikuwa na mashiko na ikaungwa karibu na wajumbe wote..

➡ Mwenyekiti wa kikao ambaye ndiye mpendekezwa wa kugombea u - Rais kagoma/kakataa kujadiliwa...

➡ Kataka aongoze kikao mwenyewe ambacho AJENDA ni kumjadili yeye mwenyewe🤔🤔. Hii ni principle ya wapi?

➡ Lakini tuliofatilia kikao hicho siku hiyo, utashangaa jambo moja lililotokea siku hiyo. Kwamba, hata baada ya wajumbe karibu wote kuunga mkono hoja ya Kibajaji (akiwemo mkwe wa Samia mwenye kifua kipana, Mchengerwa), lakini wajumbe hao hao kama mazuzu vile waliunga hoja ya mwenyekiti wao Samia aliyekataa kujadiliwa na kikao😕😕😕!!

##KWA UPANDE WA PILI, NAMUONA NDUGAYI (Former National Assembly Speaker)

➡ Huyu jamaa anaonekana kukerwa sana na mwenendo wa serikali chini ya Samia kukopa kopa hovyo. Ni dhahiri hamkubali wala kumfagilia kabisa huyu Chura Kiziwi wa Kizimkazi, nchini Zanzibar...

➡ Kajitoa muhanga na kulikemea hili waziwazi...

➡ Haina shaka yoyote kuwa, uamuzi huu wa Job Ndugayi kulisema hilo waziwazi, sio wake binafsi bali ni mjadala uliofanyika pembeni kabla kundi kubwa la watu wazito na kukubaliwa kuwa "wewe ndiyo uliseme hili boldly wazuwazi..." na ikawa hivyo...

➡ Hilo ☝🏻☝🏻linaweza kuthibitishwa na kauli hii;

"..bajeti yetu ni 30+ trillions, kati ya hizo 10trillions hulipa madeni kila mwaka. Unakwenda kukopa 1.3trillions, unalipa 10trillions halafu watu wanapiga magofi pwaa pwaa. Akili hizo? Ipo siku nchi hii itapigwa mnada hii. Mbona mmenyamaza...!!?"

➡ Soma hayo maneno ya Ndugayi between the lines. Binafsi nakubali kabisa, something is going to happen. Unabii umeshatimia katika ulimwengu wa roho, sasa utathibitika ktk ulimwengu wa mwili na kila mtu ataona kwa macho yake, kwamba, Chura Kiziwi na chawa wake wafanye kila wawezalo na wawazalo kwenye vichwa vyao, lakini Mungu aliye hai, ameshamkataa HAWEZI KUENDELEA TENA KUWA KIONGOZI WA NCHI HII NZURI YA TANGANYIKA...!!
Umenena vema kabisa
 
Muda ni rafiki wa kweli tunza maneno yako
ni muhimu Ukweli ukaelezwa wazi kwa wakati muafaka, na kwamba ulowataja ni useless katika siasa za Tanzania na tetesi yako ni nonsense ndani na nje ya CCM.

kuendekeza ramli na imani za kishirikina ni utumwa wa kimaskini sana kwenye karne hii ya sayansi na technologia 🐒
 
Naona jamaa wamekugeuza beki, hapo ulipo unakaba tu maana hutaki ukweli upate support.
sina haja ya kubabaika na kueleza sana mambo yanayohusu useless individuals ambao kwakweli hawana athari kabisaa kisiasa ndani na nje ya CCM,

na kwasabb hiyo,
tetesi husika ni nonsense politically speaking gentleman 🐒
 
Mimi ni mwanaCCM mwenzio na mimi sio CCM maslahi ila nakipenda chama.Kwahyo nakueleza tu namna yakuheshimu viongozi wako wengine ambao hauwapendi.

Hiyo fursa unayoitumia yakutukana viongozi wako wengine usiowapenda mbele ya hadhara hii,ndio namna unavyowapa fursa wengine pia wasiowakubali viongozi wetu nao wawanange mbele ya hadhara hii hii.

Nasisitiza tena najua hauwakubali ila waheshimu kwa maneno ya staha hautapungukiwa kitu.
Gentleman,
binafsi sina haja kujua nani ni mwanachama wa chama gani, ile muhimu sana kwangu, kwasabb ya dhamana na uzalendo ambao niko nao dhidi ya waTanzania wote, nawapenda sana waTanzania wenzangu wote.

Jambo jingine,
sina sababu hata moja kumtukana mTanzania yeyote hata kama ni completely useless katika siasa za ndani au nje ya CCM, daima ntaeleza Ukweli bila aibu,

vile vile,
sina haja ya kubabaika na tetesi ambazo kisiasa ni completely nonsense.
Daima sintakawia kusahihisha na kurekebisha upotoshaji wa wazi unaoibuliwa humu jukwaani dhidi ya chama chochote cha siasa nchini 🐒
 
Sio rahisi hayo kutokea, mshindi mara zote ni yule ambaye Dola ina mtii.

Na katika hili, mshindi tayari tumemjua

Ndiyo maana Kiongozi aliyebaki wa timu Edo, amefanywa Makamo wa Rais
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.

View attachment 3225689
View attachment 3225695
Mnajidanganya sana!! CCM ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndiye CCM!!

Mfumo wote wa vyama vyote Vya kijamaa huwa hivyo! Siku zote haiba ya vyama Vya kijamaa ikiwemo CCM hubebwa na Mwenyekiti. Samia yupo na ataendelea kuwepo.
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.

View attachment 3225689
View attachment 3225695
Kibajaji na tumbo lake alitaka.kufanya Mapinduzi ya nchi kijanja kumbe alikolalia watu ndiko.walikoamkia

Ukimtoa uenyekiti wa CCM kwenye kikao mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Raisi

Maana yake kiti cha mwenyrkiti ma raisi kiko wazi

Asante Mwenyekiti Mama Ssmia kugunfua hilo kwa spidi ts mwewe na kuua agenda ya kundi lile lililokuwa limejipanga

Wasirudi bungeni wote
 
Mnajidanganya sana!! CCM ni Mwenyekiti na Mwenyekiti ndiye CCM!!

Mfumo watu vyama vyote Vya kijamaa huwa hivyo! Siku zote haiba ya vyama Vya kijamaa ikiwemo CCM hubebwa na Mwenyekiti. Samia yupo na ataendelea kuwepo.

rasmi, ni vita katika ulimwengu wa roho. ni kati ya majini (mashetani) na Malaika wa Mungu (Jeshi la mbinguni).
Lazima ushindi uwe upande wa Bwana. Majini yashinde?! never on earth!!!!!!!
 
Back
Top Bottom