Tetesi: CCM kutotumia wimbo wa John Komba kwenye kampeni 2020 , yadaiwa unawachoma wanachama wake , ni ule wa " ccm mbele kwa mbele "

Tetesi: CCM kutotumia wimbo wa John Komba kwenye kampeni 2020 , yadaiwa unawachoma wanachama wake , ni ule wa " ccm mbele kwa mbele "

Mimi naupenda sana natamani ufanyiwe remix ya ( CCM mbele kwa mbele na CCM ni ile ile) uwe wimbo mmoja!
 
Sasa hivi tunaongerea uchaguzi wa serikali za.mitaa! Saccos.wameingia mitini mwaka kesho ndiyo kabisaa wenye saccos wanagawa mali zao sijui utahamia wapi??
Jana kwenye uzinduzi hatukuona wala kusikia ccm mbele kwa mbele .
 
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020

Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaoimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima

Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao

......Itaendelea hivi karibuni .
Kigogo2014 atakuwa ndiye aliyekupa hizo taarifa. Kitu alichosahau Kigogo2014 kukijua ni kwamba kila mwaka wa uchaguzi CCM huja na kibao mujarab kwa ajili ya uchaguzi husika.
 
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020

Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaoimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima

Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao

......Itaendelea hivi karibuni .
Kwa hiyo wimbo ndio kura?
 
Napendekeza wimbo huo utumike kunogesha kampeni za kambi ya wapinzani

Ikiwa hilo litatamalaki basi usishangae Mzee wa kushauriwa kwa kuanzia degree 4 akaupiga marufuku
 
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020

Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaoimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima

Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao

......Itaendelea hivi karibuni .
STAR TV imekuwa ya MTOZI NYANDA, yaani hamna kitu pale na mtozi akiondoka inakufa kabisa
 
Back
Top Bottom