Uchaguzi 2020 CCM kuzindua kampeni Jumamosi, Agosti 29, 2020 uwanja wa Jamhuri, Dodoma

Uchaguzi 2020 CCM kuzindua kampeni Jumamosi, Agosti 29, 2020 uwanja wa Jamhuri, Dodoma

Kwa hiyo kampeini zitafunguliwa na Magufuli mwenyewe, siyo Kikwete wala Mwinyi. Tulizowea kampeini zinazinduliwa na rais mstaafu mmojawapo.

Nadhani wapo wageni waalikwa maraisi wastaafu.
 
Back
Top Bottom