Richard JF-Expert Member Joined Oct 23, 2006 Posts 15,692 Reaction score 23,038 Aug 28, 2020 Thread starter #41 Kichuguu said: Kwa hiyo kampeini zitafunguliwa na Magufuli mwenyewe, siyo Kikwete wala Mwinyi. Tulizowea kampeini zinazinduliwa na rais mstaafu mmojawapo. Click to expand... Nadhani wapo wageni waalikwa maraisi wastaafu.
Kichuguu said: Kwa hiyo kampeini zitafunguliwa na Magufuli mwenyewe, siyo Kikwete wala Mwinyi. Tulizowea kampeini zinazinduliwa na rais mstaafu mmojawapo. Click to expand... Nadhani wapo wageni waalikwa maraisi wastaafu.
Kiwarhoapandenga JF-Expert Member Joined Aug 10, 2019 Posts 2,078 Reaction score 1,805 Aug 28, 2020 #42 mrangi said: Naona kampeni itatawaliwa na show ya wasanii wa bongo fleva Ova Click to expand... Na ndio mbeleko wanayoitegemea waende wenyewe wanasiasa waone watakavyokuwa na wajumbe wa nyumba kumi
mrangi said: Naona kampeni itatawaliwa na show ya wasanii wa bongo fleva Ova Click to expand... Na ndio mbeleko wanayoitegemea waende wenyewe wanasiasa waone watakavyokuwa na wajumbe wa nyumba kumi