zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Tungekua na watu km huyo mama 5,000,000 tu wanatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimepigania uhuruHivi ni mapinduzi yapi Hayo??
Basi MambuziHivi ni mapinduzi yapi Hayo??
Si yule alisema Mambuzi au nilisikia vibaya?Kimepigania uhuru
Hoja gani ujanja ujanja leo huku watu hawajatokea kituoni ila Sanduku limejaa kura nimecheka sanaAsira zann jbu kwa hoja
Hahhaha mara mtu anakamatwa na kura tayari zishapigwa! Unajiuliza kazipata wapi huyu? Ukistaajabu ya Mussa utaona ya FirauniHoja gani ujanja ujanja leo huku watu hawajatokea kituoni ila Sanduku limejaa kura nimecheka sana
CCM ni chama kikubwa chenye historia kubwa ndani ya nchi na nje ya nchi lakini nashauri yafatayo!
CCM kwenye chaguzi kuanzia 2019 imekuwana na woga kushindana na vyama vingine na kupelekea watu wengi kuona zoezi la uchaguzi halina maana
CCM itambue kizazi kinabadilika na kusema kweli watu wengi wanataka mabadiliko yatayotoka ndani ya CCM au ndani ya upinzani kwa maana ya watu kuchoka kuwa chini ya chama kimoja na hiyo ni hulka ya binadamu kwa asili!
CCM kujiandaa kwa miaka ijayo kwa maana wahenga wanasema huwezi kuwadanganya watu muda wote,Nasema hayo kwa maana haitawezekana miaka yote kuwa na uchaguzi wa namna hii na mapungufu yake kwa maana sio asili ya mambo!
CCM inapaswa kutoogopa kabisa ushindani kwa sababu hata nchi zilizoendelea vyama hutawala kwa sera nzuri zinazokubalika na wananchi si kwa kufanya figisu au ujanja ujanja wa kisingizio cha watu kukosea kujaza fomu. Kuogopa uchaguzi ni ishara ya chama kuchoka na kuongeza chuki katika jamii.
CCM itambue viongozi wengi wanaopita bila kupingwa kwa maana ya kukosa wapinzani hawawezi kukijenga chama katika jamii kwa maana viongozi watokanao na uchaguzi kama huo huwa sio chaguo la wananchi.
CCM ina faida kubwa moja ina mtaji wa vipaji vingi vya uongozi na wachama wengi katika vijana,watu wa makamo na wazee.Kitu hichi kinaifanya CCM kuwa ni chama imara ila kinapungukiwa na viongozi shupavu wa kushindani.
CCM itambue ushindani halali ndo pekee utaifanya CCM kuwa imara na sivinginevyo maana ushindani huleta ushindi halali na kuheshimika na jamii!
CCM ikumbuke kabla ya 2015 wanachama walikuwa wanaogopa kutembea wakiwa wamevaa nguo za kijana kwa maana zomea zomea ilikuwa nyingi sana.
CCM hamjachelewa kuruhusu Ushindani kwa maana ushindani katoka uongozi ni kama damu katika mwili bila ushindani kinachofata ni mauti!
Niwatakie pole wote waliopata changamoto katika kipindi hiki cha uchaguzi!
Mungu awabarikini nyote!
View: https://youtu.be/doU05kVEoz0?si=Q8-XtN2cXCOHqHHs
Hakika ila bado wana muda wa kuweka mambo sana!CCM inazikwa taratibu na wenye tamaa ya madaraka. Wao watapita CCM itabaki ikiwa taabani kwa kashfa mbalimbali.
Sema kuna watu wajinga lakin sio CCM 😀😀😀CCM ni wajinga sn
Hahaha Wahenga wanasema asiyekubali kushindwa si mshindani!CCM baada ya kuwaogopa wapinzani,wamechukua mpira wakauweka kwapani halafu spidi
CCM ni chama kikubwa chenye historia kubwa ndani ya nchi na nje ya nchi lakini nashauri yafatayo!
CCM kwenye chaguzi kuanzia 2019 imekuwana na woga kushindana na vyama vingine na kupelekea watu wengi kuona zoezi la uchaguzi halina maana
CCM itambue kizazi kinabadilika na kusema kweli watu wengi wanataka mabadiliko yatayotoka ndani ya CCM au ndani ya upinzani kwa maana ya watu kuchoka kuwa chini ya chama kimoja na hiyo ni hulka ya binadamu kwa asili!
CCM kujiandaa kwa miaka ijayo kwa maana wahenga wanasema huwezi kuwadanganya watu muda wote,Nasema hayo kwa maana haitawezekana miaka yote kuwa na uchaguzi wa namna hii na mapungufu yake kwa maana sio asili ya mambo!
CCM inapaswa kutoogopa kabisa ushindani kwa sababu hata nchi zilizoendelea vyama hutawala kwa sera nzuri zinazokubalika na wananchi si kwa kufanya figisu au ujanja ujanja wa kisingizio cha watu kukosea kujaza fomu. Kuogopa uchaguzi ni ishara ya chama kuchoka na kuongeza chuki katika jamii.
CCM itambue viongozi wengi wanaopita bila kupingwa kwa maana ya kukosa wapinzani hawawezi kukijenga chama katika jamii kwa maana viongozi watokanao na uchaguzi kama huo huwa sio chaguo la wananchi.
CCM ina faida kubwa moja ina mtaji wa vipaji vingi vya uongozi na wachama wengi katika vijana,watu wa makamo na wazee.Kitu hichi kinaifanya CCM kuwa ni chama imara ila kinapungukiwa na viongozi shupavu wa kushindani.
CCM itambue ushindani halali ndo pekee utaifanya CCM kuwa imara na sivinginevyo maana ushindani huleta ushindi halali na kuheshimika na jamii!
CCM ikumbuke kabla ya 2015 wanachama walikuwa wanaogopa kutembea wakiwa wamevaa nguo za kijana kwa maana zomea zomea ilikuwa nyingi sana.
CCM hamjachelewa kuruhusu Ushindani kwa maana ushindani katoka uongozi ni kama damu katika mwili bila ushindani kinachofata ni mauti!
Niwatakie pole wote waliopata changamoto katika kipindi hiki cha uchaguzi!
Mungu awabarikini nyote!
View: https://youtu.be/doU05kVEoz0?si=Q8-XtN2cXCOHqHHs
😀😀😀😀Hoja gani ujanja ujanja leo huku watu hawajatokea kituoni ila Sanduku limejaa kura nimecheka sana
CCM si wajinga, bali werevu wenu chadema ni wa bandia. Hamna lolote zaidi ya kutafunana nyinyi kwa nyinyi. Hamjakuwa tayar na mabadiliko.CCM ni wajinga sn
Figisu ni hatua ya mwisho ya mtu aliyefeli....akiishiwa hii mbinu basi anaondoka mazima maan hana option nyingineCCM inapaswa kutoogopa kabisa ushindani kwa sababu hata nchi zilizoendelea vyama hutawala kwa sera nzuri zinazokubalika na wananchi si kwa kufanya figisu au ujanja ujanja wa kisingizio cha watu kukosea kujaza fomu. Kuogopa uchaguzi ni ishara ya chama kuchoka na kuongeza chuki katika jamii.
Wasiojulikana na comment zenu.CCM si wajinga, bali werevu wenu chadema ni wa bandia. Hamna lolote zaidi ya kutafunana nyinyi kwa nyinyi. Hamjakuwa tayar na mabadiliko.
Kwa chaguzi za leo zimeivua nguo serikali ya ccmHahaha Wahenga wanasema asiyekubali kushindwa si mshindani!