CCM Lumumba zimejaa Toyota Landcruiser mkonga nje za Wenyeviti wa mikoa. Ni vema CHADEMA wakajifunza matumizi mazuri ya ruzuku

CCM Lumumba zimejaa Toyota Landcruiser mkonga nje za Wenyeviti wa mikoa. Ni vema CHADEMA wakajifunza matumizi mazuri ya ruzuku

Waulize ziko wapi?
zinafanya kazi ya kueneza chadema msingi huko mikoani. Au ulitaka ziendelee kupaki hapo kinondoni ili mpate jambo la kuongelea?umesahau kuwa baada ya policcm kushusha bendera za chadema kwenye milingoti yenu hizo gari ndio zilitumika kupeperusha bendera.
 
zinafanya kazi ya kueneza chadema msingi huko mikoani. Au ulitaka ziendelee kupaki hapo kinondoni ili mpate jambo la kuongelea?
Sasa mbona kanda ya kusini hatuioni badala yake viongozi wanakodi bodaboda?........au ziko Kilimanjaro kwa Ole sabaya?
 
Nipo hapa Lumumba kwa kweli pamependeza kila mwenyekiti wa CCM mkoa amefika na Toyota " mkonga nje" ambazo wanazitumia kukagua utekelezaji wa ilani ya chama hadi katika maeneo yasiyofikika kirahisi.

Haya magari yote ni mali ya chama na huu ni mfano mzuri wa matumizi sahihi ya ruzuku inayotolewa na serikali.

Kiukweli Chadema jifunzeni kutoka CCM wanunulieni magari tena imara wenyeviti wenu wa kanda hawa akina Suleiman Methew badala ya kuwaacha watumie bodaboda.

Ni hayo tu kwa uchache.

Maendeleo hayana vyama!
Wanavyojali matumbo yao watakuelewa lakini?! Jamaa kwa hela ni hatari, hasa Lissu na Mbowe...
 
Mwenye mada,una ushahidi asilimia ngapi kuwa hayo magari yamenunuliwa na hela halali ya mcc?.

Unajua mcc ndo inaongoza kwa ufisadi hapa nchini?.
Utakubaliana na Mimi Kama pesa ilitolewa kwenye chanzo ambacho siyo halali hata Hilo gari Ni haramu?
 
Back
Top Bottom