Uchaguzi 2020 CCM maji ya shingo Kyela, wapambe wa Mwakyembe waapa kuichagua CHADEMA. Mangula ashindwa kuokoa Jahazi

Uchaguzi 2020 CCM maji ya shingo Kyela, wapambe wa Mwakyembe waapa kuichagua CHADEMA. Mangula ashindwa kuokoa Jahazi

Tusisahau wakati wa kikwete pia alipata kashehshe nyingi za kukataliwa jimboni, lakini alibebwa na kikwete na kinana.

Mwakyembe ana kiburi sana jimboni kwake na madharau
 
😁😂 taarifa zandani za ccm zinatolewa na kada wa CDM! Hii dunia inamaajabu yake
 
Tusisahau wakati wa kikwete pia alipata kashehshe nyingi za kukataliwa jimboni, lakini alibebwa na kikwete na kinana.

Mwakyembe ana kiburi sana jimboni kwake na madharau
Ndo Ushangae Eti Bado Wanadhani Ana Nguvu. Ni Muda Umesema Wajaribu Na Mwingine
 
Chadema wanaokoteza habari ili kujifurahisha wanadhani kipigo hakitawakuta.
 
Niko hapa Maeneo ya Serengeti unayosema hayapo, japo mkutano wa cdm ulifanyika
 
Safi sana! Siku ya kufa nyani.....

Huku ikiwa bado Mbeba Maono Tundu Lissu kukanyaga ardhi ya Kyela, tayari CCM imeanza kupukutika yenyewe mithili ya mti wakati wa kiangazi, makovu ya kura za maoni yanaendelea kuitesa baada ya wapambe wa Mwakyembe kujiapiza na kugoma kumnadi wala kumpa kura zao mgombea wa CCM Ally Jumbe ambaye wanadai alikuwa mbeba mafaili wa Mwakyembe aliyesaliti kambi.

Taarifa zinadokeza kwamba mikutano mizito na mikubwa ya Mgombea Ubunge wa CHADEMA Mhe. Alinanuswe Mwalwange na hasa umati uliohudhuria siku ya uzinduzi wa kampeni zake kwenye uwanja wa Tacoshiri kumeisambaratisha zaidi CCM huku wapambe wa Mwakyembe wakichekelea hasa baada ya kampeni za uzinduzi za CCM zilizotangulia kudoda kwenye uwanja wa siasa


Juhudi za Mzee Mangula kuokoa jahazi zimegonga mwamba
 
Tusisahau wakati wa kikwete pia alipata kashehshe nyingi za kukataliwa jimboni, lakini alibebwa na kikwete na kinana.

Mwakyembe ana kiburi sana jimboni kwake na madharau

Nyie darasa la 7 na yeye ana digrii 4!!!! Sumu bado haijamtoka mwilini ndio maana anaweweseka!!
 
wewe ccm maandazi haya utayajulia wapi ?
Ha ha haaa! Kwa tembea yenu, kwa kudunda kwenu, kwa kunena kwenu na hata kuandika kwenu ni rahisi sana kujua mlivyo'frustrated', kwa kukosea kuteua mgombea wenu kwenye nafasi ya urais. Hakuna namna mvumilie tu maana sikio halisikii dawa muda huu! Ha h ah aaaa! Mtaniiii! Unalo mwaka huu.
 
Ha ha haaa! Kwa tembea yenu, kwa kudunda kwenu, kwa kunena kwenu na hata kuandika kwenu ni rahisi sana kujua mlivyo'frustrated', kwa kukosea kuteua mgombea wenu kwenye nafasi ya urais. Hakuna namna mvumilie tu maana sikio halisikii dawa muda huu! Ha h ah aaaa! Mtaniiii! Unalo mwaka huu.
Katoro
 

Attachments

  • Katoro ... Jirani na CHATO ( 352 X 640 ).mp4
    4.1 MB
Back
Top Bottom