Uchaguzi 2020 CCM Maji ya shingo Temeke, mgombea wao wa ubunge hafahamiki popote, Sina Manzi wa CHADEMA ang'ara

Uchaguzi 2020 CCM Maji ya shingo Temeke, mgombea wao wa ubunge hafahamiki popote, Sina Manzi wa CHADEMA ang'ara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu, hali ya CCM kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali, Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi, hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni.

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza, wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye, hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji.

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa CHADEMA.

Instagram media - CFjW75oAgfz ( 780 X 640 ).jpg


Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
 
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu , hali ya ccm kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali , Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi , hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni .

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba Makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza , wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita , kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye , hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji .

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa Chadema

View attachment 1584725

Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
Hahahaha...!! Sura yenyewe tu haiwezi pata hata kura kumi.
 
Ukweli ni lazima tuuseme, kwa dar hadi sasa chadema tushapoteza majimbo ya : Temeke, Mbagala, Kibamba, Kinondoni, Ilala na Kigamboni, ni kutokana na aina ya watu tuliowaweka kulinganisha na nguvu ya ccm
Majimbo ambayo tunapaswa kuyashughulikia ni : Kawe, Segerea na Ubungo
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu , hali ya ccm kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali , Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi , hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni .

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba Makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza , wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita , kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye , hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji .

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa Chadema

View attachment 1584725

Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
 
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu , hali ya ccm kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali , Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi , hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni .

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba Makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza , wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita , kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye , hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji .

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa Chadema

View attachment 1584725

Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
Waswahili wa temeke mabinti zetu wanavaa hijab 🧕
Hao ni wa wapi?
 
Ukweli ni lazima tuuseme, kwa dar hadi sasa chadema tushapoteza majimbo ya : Temeke, Mbagala, Kibamba, Kinondoni, Ilala na Kigamboni, ni kutokana na aina ya watu tuliowaweka kulinganisha na nguvu ya ccm
Majimbo ambayo tunapaswa kuyashughulikia ni : Kawe, Segerea na Ubungo
Kumbe sasa nimeamini kwamba yote unayoyaweka hapa ni uongo mtupu na nakupuuza rasmi
 
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu, hali ya CCM kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali, Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi, hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni.

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza, wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye, hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji.

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa CHADEMA.

View attachment 1584725

Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
Chama cha Mbowe, mwenyekiti wenu anafaidi vitu maalum kweli kweli.
 
Kunipuuza ni uamuzi wako, ila kukwambia ukweli ni jukumu langu.
Hakuna tunayemuongopea, kuishinda ccm kwenye hayo majimbo haiwezekani tena. Mimi sio shabiki bali ni mwanachama, ninajua kusema la ukweli na kukanusha uongo.
Nakupa mfano; nilikuta sehemu ccm wanasema watashinda bunda na tarime vijijini, nikawaambia mnajiongopea, hiyo ni ndoto na hamtaweza, ghafla wakaanza kuniambia nimetumwa.
Kumbe sasa nimeamini kwamba yote unayoyaweka hapa ni uongo mtupu na nakupuuza rasmi
 
Mtu anaitwa"Sina"anaanzaje kushinda kwa mfano,alafu ni "Manzi"mwenye jicho nyanya kama katoka kuvuta wida.
Ivi wewe unajielewa kweli au ndo ujinga wa chama cha siasa na si kupima wagombea
 
Back
Top Bottom