Uchaguzi 2020 CCM Maji ya shingo Temeke, mgombea wao wa ubunge hafahamiki popote, Sina Manzi wa CHADEMA ang'ara

Uchaguzi 2020 CCM Maji ya shingo Temeke, mgombea wao wa ubunge hafahamiki popote, Sina Manzi wa CHADEMA ang'ara

Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu, hali ya CCM kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali, Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave hawezi kushinda uchaguzi kwa vile hajulikani na wapiga kura wala hajulikani hata anakoishi, hana ushawishi wala hana hata uwezo wa kupiga kampeni.

Taarifa zingine zinaonyesha kwamba makundi na makovu ya kura za maoni ndio yaliyomteketeza, wapambe wa Mtemvu ambao ni 75% ya wanaccm wote wa jimbo hilo wamejiapiza kutomchagua mama huyo mjane aliyefiwa na mumewe miaka michache iliyopita kwa madai kwamba mama huyo ni chaguo la Makao Makuu na wao hawahusiki naye, hatima yake iko mikononi mwa Tume kwenye uchakachuaji.

Bali njia ni nyeupe kwa Mgombea ubunge wa CHADEMA.

View attachment 1584725

Ambaye duru zinaonyesha kwamba ni mtoto halisi wa Temeke mwenye vinasaba vya Mtoni kwa Azizi Ally na Yombo Buza , maeneo yanayoaminika kuwa na wakazi wengi mno na wapiga kura , huku umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
Chadema imejisazia wagombea bora nchi nzima
 
Kunipuuza ni uamuzi wako, ila kukwambia ukweli ni jukumu langu.
Hakuna tunayemuongopea, kuishinda ccm kwenye hayo majimbo haiwezekani tena. Mimi sio shabiki bali ni mwanachama, ninajua kusema la ukweli na kukanusha uongo.
Nakupa mfano; nilikuta sehemu ccm wanasema watashinda bunda na tarime vijijini, nikawaambia mnajiongopea, hiyo ni ndoto na hamtaweza, ghafla wakaanza kuniambia nimetumwa.
Kama vipi piga magoti tafadhali.
 
Nilichokiona wengi wenu ni washabiki wa chadema, sio wanachama. Hamkijui chama na hamjui nini kinaendelea kila wakati kwenye chama, nyie mna kazi ya ushabiki tu.
Mimi kwa nafasi niliyonayo na kwa jinsi ninavyokutana na kuwasiliana sana na viongozi wa chama, kama ningekuwa kama nyie basi kusingetosha humu.
Leo nilikuambia unajua sababu ya mkutano wa hai kuabirishwa, ila ukabaki unatoa macho tu. Umeweka post kuwa mkutano umehairishwa, ila sababu za kuahirishwa huzijui
Chadema itakusababishia kisukari safari hii
 
Nilichokiona wengi wenu ni washabiki wa chadema, sio wanachama. Hamkijui chama na hamjui nini kinaendelea kila wakati kwenye chama, nyie mna kazi ya ushabiki tu.
Mimi kwa nafasi niliyonayo na kwa jinsi ninavyokutana na kuwasiliana sana na viongozi wa chama, kama ningekuwa kama nyie basi kusingetosha humu.
Leo nilikuambia unajua sababu ya mkutano wa hai kuabirishwa, ila ukabaki unatoa macho tu. Umeweka post kuwa mkutano umehairishwa, ila sababu za kuahirishwa huzijui
Piga magoti basi wacha maneno mengi. Uongo wey wananchi wameshaugundua mwaka huu mtakula hadi vumbi
 
Nilichokiona wengi wenu ni washabiki wa chadema, sio wanachama. Hamkijui chama na hamjui nini kinaendelea kila wakati kwenye chama, nyie mna kazi ya ushabiki tu.
Mimi kwa nafasi niliyonayo na kwa jinsi ninavyokutana na kuwasiliana sana na viongozi wa chama, kama ningekuwa kama nyie basi kusingetosha humu.
Leo nilikuambia unajua sababu ya mkutano wa hai kuabirishwa, ila ukabaki unatoa macho tu. Umeweka post kuwa mkutano umehairishwa, ila sababu za kuahirishwa huzijui
Mimi sio mwana siasa wala Sina Chama lakini magufuli alivyo tutesa hata kama angekua anagombea na mbwa basi ningempigia mbwa
Wengi watakaompigia kura lissu sio kwa Sera au mapenzi ni kwa sababu magufuli ametutesa na kutunyanyasa Sana katika nchi tunayoiita nyumbani
Kuna makada na wakereketwa wa CCM utampigia kura lissu
 
Huyo Sina kwakweli ndio nimemtambua leo .
 
Kumpigia kura nani huo ni uamuzi wako, muhimu kahakiki jina lako kama lipo
Mimi sio mwana siasa wala Sina Chama lakini magufuli alivyo tutesa hata kama angekua anagombea na mbwa basi ningempigia mbwa
Wengi watakaompigia kura lissu sio kwa Sera au mapenzi ni kwa sababu magufuli ametutesa na kutunyanyasa Sana katika nchi tunayoiita nyumbani
Kuna makada na wakereketwa wa CCM utampigia kura lissu
 
Nilichokiona wengi wenu ni washabiki wa chadema, sio wanachama. Hamkijui chama na hamjui nini kinaendelea kila wakati kwenye chama, nyie mna kazi ya ushabiki tu.
Mimi kwa nafasi niliyonayo na kwa jinsi ninavyokutana na kuwasiliana sana na viongozi wa chama, kama ningekuwa kama nyie basi kusingetosha humu.
Leo nilikuambia unajua sababu ya mkutano wa hai kuabirishwa, ila ukabaki unatoa macho tu. Umeweka post kuwa mkutano umehairishwa, ila sababu za kuahirishwa huzijui
umedanganywa vibaya sana , hata uchokonoe vipi hatutaropoka kila jambo
 
Kipindi hiki Cha uchaguzi naona Dar Kama imepoa Sana , na mikoani ndo wako hot kuleta vuguvugu la mabadiriko
 
Mimi sio mwana siasa wala Sina Chama lakini magufuli alivyo tutesa hata kama angekua anagombea na mbwa basi ningempigia mbwa
Wengi watakaompigia kura lissu sio kwa Sera au mapenzi ni kwa sababu magufuli ametutesa na kutunyanyasa Sana katika nchi tunayoiita nyumbani
Kuna makada na wakereketwa wa CCM utampigia kura lissu
Nyie ndio mnafanya anajigalagaza chini kwa kauli hizi.
 
Back
Top Bottom