CCM mbeLe kwa mbele: Wakati wa wafanyakazi, wanasiasa na wakulima nyie wafanyabiashara mnasema hayawahusu

CCM mbeLe kwa mbele: Wakati wa wafanyakazi, wanasiasa na wakulima nyie wafanyabiashara mnasema hayawahusu

Ni kweli. Bila kuwa na umoja hakuna kitakacho tokea. Kuna walamba asali (hawa wengi wanajua ukweli) kuna wasio elewa kitu (hawa ndio husema "fulani kajenga reli, kanunua ndege n.k".) na kuna wanaojielewa ambao ni asilimia chache sana kama Maghayo Darlin Dr Lizzy binti kiziwi

Ni "sharauti" tu mjue nawakumbuka msije kuvimba kichwa 😜
🤭🤭🤭sio kwa sharauti hizo😁😁
 
Back
Top Bottom