Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Bia yetu ana kauli gani kuhusu hilo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjumbe lete hoja ya kujenga usikebehi huu mchanganuoUnaota ndoto za mchana! Ndugu
Sorry lakini sijaelewaBaba anapompata mtoto humuelekeza tahajia sahihi za maisha, Mtoto akishaanza kupevuka huhitaji uhuru, baba akitoa nasaha zake kwa mtoto kuhusu mienendo hasi ya mtoto, Mtoto hufikiri kuwa anaonewa, Baba mwenye busara huanza kubana uhuru wa mtoto, "Mtoto akishafika (age of reasoning) Huanza eidha kumshukuru baba au kuilaumu nafsi yake"
Thanks for being my closer follower but am a free thinker..huwezi kunipangia cha kupost...nina nyuzi nyingi za corona unazungumzia upi mmojawapo?Mzee mshana. Ungeachana na vyama visivyo vyako. Toa sera za chama ukipendacho. Vipi uzi wako wa corona. Embu kausome tena then Rudi hapa
Ahhssanteee!Mshana Jr tofautusha Kati ya "VIONGOZI WA DINI NA VIONGOZI WA KIROHO"
wale malofa tunaowaona ni viongozi wa dini yaani kazi Yao kuongoza maisha Yao na matumbo Yao Ila viongozi wa KIROHO ni wale wanaoongoza mioyo ya watu ili waurithi ufalme wa MUNGU.... viongozi wa dini ni hao akina gwajima,Mzee Wa upako,nabii Tito,bakwata na katoliki
Wajasilia diniMshana Jr tofautusha Kati ya "VIONGOZI WA DINI NA VIONGOZI WA KIROHO"
wale malofa tunaowaona ni viongozi wa dini yaani kazi Yao kuongoza maisha Yao na matumbo Yao Ila viongozi wa KIROHO ni wale wanaoongoza mioyo ya watu ili waurithi ufalme wa MUNGU.... viongozi wa dini ni hao akina gwajima,Mzee Wa upako,nabii Tito,bakwata na katoliki