Uchaguzi 2020 CCM, michanganyo hii mwisho mtachanganyikiwa kabisa na kupoteana

😂😂😂 kwamba askofu na mganga wa kienyeji wanakaa pamoja??? Kweli CCM subirini maziko tu!!
Mkuu Wangu kamati Ya Amani Inakusanya Viongozi Wakubwa Wa DINI Zote...Na Wale Waliokaribu Na Mambo Ya DINI...japo kiukweli Sheikh Sharifu Majini SI Kiongozi Wa DINI...Zaidi Ya Kumjua Kuwa Mtaalam Wa Tiba Mbadala Km Dr.Ndodi Ambaye Naye Nimemuona Pale...

Halafu Ilikuwa Ni Free Kuingia, Hawakukataza Watu Wapendao Mambo Ya DINI Kuzamia Pale.
 
Ukitaka umuelewe mshana jr andiko lake ligeuze liwe kinyume Chake,angalia kila nyuzi zake huwa zinakuwa kinyume/hakitokei kile alichoandika isipokuwa ni kinyume chake
 
AMEN
 
Dah..kumbe walilipwa bana.....

 
Amini nakwambia maccm ndio wakorofi katika hii nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…