CCM mmejiandaeje soko la mafuta likitikiswa na vita za Israel?

CCM mmejiandaeje soko la mafuta likitikiswa na vita za Israel?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Wako bize kupanga mbinu za wizi wa kura, kuteka na kuua wapinzani
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Hata wa ndani
 
CCM ni unga unga tu.

Makamba alipokuwa waziri alipigiwa kelele madhara M.E crisis na muhimu na umuhimu wa nchi kuwa na walau hifadhi ya miezi mitatu (lead time ya kutafuta suppliers wengine na wahusika
wenyewe kuongeza production).

Makamba ni mtu wa kujifunza kutokana na makelele ya JF ikamplekea kujielimisha maswala ya soko la mafuta (on supply side) na risks associated na geo-politics hasa za M.E.

Na Kudos kwake alianza jitihada za kutafuta hao wawekezaji na MoU kadhaa walisaini kwenye ziara ya Bi-Tozo Dubai na Makamba mwenyewe alipoenda Morroco aliingia makubaliano nao waje wajenge reserve tanks Tanks Tanzania.

Shida yake nae akatoa mkurugenzi mtaalamu TPDC na kumuweka rafiki yake.

Mambo kama hayo kwa nchi zinazojitambua kwa umuhimu wake ingekuwa ni national security matter. Tanzania ni swala la akili la waziri akitoka na jitihada husika zinakufa. Muanze tena kumpa somo Biteko ambae kwenye kichwa chake Mwana FA ni mtu mwenye akili. Huko sasa ndio kutwanga maji kwenye kinu.
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Kupiga dili
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Waambie wakamirishe bomba la Uganda mapema ili waanza kununua toka huko Uganda au kuyafyonza yakipitia Tanzania kuelekea bandari ya Tanga...
 
Mleta mada una akili finyu
Iran haiuzi mafuta nje sababu ya
Vikwazo vya biashara ilivyowekewa vya kimataifa

Tanzania hainunui mafuta Iran na hakuna mfanyabiashara yeyote wa mafuta hununua Iran

Chadema muwe pia mnajiongeza kujua mambo ya kimataifa pua
 
Mleta mada una akili finyu
Iran haiuzi mafuta nje sababu ya
Vikwazo vya biashara ilivyowekewa vya kimataifa

Tanzania hainunui mafuta Iran na hakuna mfanyabiashara yeyote wa mafuta hununua Iran

Chadema muwe pia mnajiongeza kujua mambo ya kimataifa pua
Tanzania mafuta yake inanunua toka wapi?

Kwa uelewa wako vita ya Mashariki ya kati haiwezi kuathiri bei ya mafuta duniani?
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Leo mafuta yameshuka bei kwa zaidi ya shilingi Mia.....
 
Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.

Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.

Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?

Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Unawauliza swali gumu wasiloweza kujibu.
 
Akili zetu hazina uwezo wa kujadili tahadhari.Sana sana watakwambia tuko vizuri na hali ikiwa mbaya mzigo unasukumwa kwa wananchi wapambane wenyewe.
 
Back
Top Bottom