Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wako bize kupanga mbinu za wizi wa kura, kuteka na kuua wapinzaniTunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Wakati huu itakuwa mbaya zaidi kuliko ile ya miaka ya sabini na themanini mwanzoni.As you know history teachs, huwa wanafanya damage control lakini hawa jiandai
Aisee!!Sawa
Tayari BBC wametangaza kutakuwa na Ongezeko la ghafla la Bei ya mafuta Lakini na uhaba wa mafuta yenyewe pia
Umeleta mada muhimu sana tena Kizalendo zaidi 😂
Hata wa ndaniTunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Kupiga diliTunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Waambie wakamirishe bomba la Uganda mapema ili waanza kununua toka huko Uganda au kuyafyonza yakipitia Tanzania kuelekea bandari ya Tanga...Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Na ni kweli uzowefu unaonesha kuwa kila tatizo likitokea CCM hulitumia kupiga dili.Kupiga dili
Tayari chicken carbonate inaandaa mchoroNa ni kweli uzowefu unaonesha kuwa kila tatizo likitokea CCM hulitumia kupiga dili.
Tanzania mafuta yake inanunua toka wapi?Mleta mada una akili finyu
Iran haiuzi mafuta nje sababu ya
Vikwazo vya biashara ilivyowekewa vya kimataifa
Tanzania hainunui mafuta Iran na hakuna mfanyabiashara yeyote wa mafuta hununua Iran
Chadema muwe pia mnajiongeza kujua mambo ya kimataifa pua
Leo mafuta yameshuka bei kwa zaidi ya shilingi Mia.....Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Unawauliza swali gumu wasiloweza kujibu.Tunajua mko bize kuwaza mnashindaje kwa kishindo cha furushi la mwizi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Ingawa tangu muanze "kushinda kwa kishindo" sisi watanzania hatuoni kishindo chochote cha kimaendeleo kwenye maisha yetu.
Israel kaanzisha vita huko Mashariki ya kati, na kwa mtazamo tu inawezekana vita hiyo ikasambaa eneo lote la Mashariki ya kati, Uarabuni, Urusi hata mpaka uturuki.
Huko vita inakotarajiwa kufika ndiko bei ya mafuta hupangwa. Jee CCM mmejipangaje iwapo ama mafuta yakiadimika au bei zake kupanda?
Uzowefu unaonesha nyie CCM hamjawahi kujiandaa kupambana na athari zitokanazo na uchumi wa Dunia unapoyumba.
Hii sasa inatia huzuni sana...hali ikiwa mbaya mzigo unasukumwa kwa wananchi wapambane wenyewe.