CCM mmejiandaeje soko la mafuta likitikiswa na vita za Israel?

hahahaha siku zote tuko off-guard.

sababu tunayo tayari, Vita ya Israeli vs Iran ndio imesababisha mafuta yauzwe 10k/litre.
Machawa na makada kama kawaida tunasimama kutoa utetezi na vita ikiisha tutaambiwa bei imeshuka to 9980/ litre kama kawaida makada na machawa tutaipongeza GOT kwa kazi nzuri.
 
Jana niliona maji yanawaka moto. Chunguza inawezekana kuna mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ