CCM mnajua kunivuruga. Niliwapenda, niliwakubali lakini sasa inatosha

Nisamehe mpenzi. Vihasira vikichanganyika na K Vant huleta matatizo kwenye medulla...

Nisamehe hata kama hutanisahau basi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua babuuh umenichekesha sana wee, uzee huo unapiga K Vant? Utakuja upate matatizo ya akili shauri yako, wee inabidi utumie Heineken,

Nishakusamehe muda sana, na siwezi kukusahau grand papah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 

Michepuko ya bwana ole ina kilio kama chako. Wengine ni ile ya akina bashiri na chakubanga.

Au na wewe umo humo?
 

Kunywa maji kwanza uelezee amekugeuka vipi wewe mpiga kura wa CCM?
 
Chozi la Taga Mbobezi huwa ni Tamu sana😂😂😂
 
Tulia... Mama na Magufuli ni kitu kimoja.

Na Mataga mkashangilia kweli na meno yote 32 mkatoa nje...
 
Kama una maumivu Makali ZAA/Jifungue tatizo moja bado mna akili za babu yenu Jei Pi Emuu
 
mzima akili wewe?
 
Hilo sio la kuuliza.... ni utawala wa awamu ya 6 chini ya Ironlady SSH zao halisi la mwendazake

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan

Kazi iendelee
Huyu iron lady anafaa mikumi zaidi sio yule feki wa mitano
 
We Msukuma mtu wa ajabu sana! JPM ni nani?
 
Zao halisi la mwendazeke lisingemtengua jambazi Sabaya
Hilo sio la kuuliza.... ni utawala wa awamu ya 6 chini ya Ironlady SSH zao halisi la mwendazake

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan

Kazi iendelee
 
Huyu iron lady anafaa mikumi zaidi sio yule feki wa mitano

Ironlady ni original ya JPM na kwa pamoja tunasema mikumi na tano.... Mungu ampe afya tuu
Wa kuitoa CCM madarakani hadi sasa hawapo, na kama watatokea kujaribu wajipange sanaaaa
 
Sahau kabisa habari ya nguvu ya JPM. Hana madhara tena huyo. Angekua nayo basi misukule yake isingehangaika hivi. Yeye kafa na kila kitu chake, sio legacy sio nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…