CCM mnajua kunivuruga. Niliwapenda, niliwakubali lakini sasa inatosha

CCM mnajua kunivuruga. Niliwapenda, niliwakubali lakini sasa inatosha

Haha, nguvu kutoka kaburini? Acha kujilisha ujinga, marehemu ashasahaulika, watu wanasonga mbele. Alikuwepo Nyerere, alikufa na watu wakamove forward, sembuse hilo fisadi lenu ambalo kakirusi kamafua tu kamemlaza futi 6 chini?
Wapumliwa visogoni kama wewe wanamsahau vipi venye aliwanyoosha? jitu halina vyeti limekalia kazi za watu haliwezi kumpenda, asiwe na nguvu mkeshe kutukana mwe.hu wewe?
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Pole Sana kweli umeongea kwa hisia
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

Kweli Magufuli alishinda kwa mbinde sana lakini cha kushangaza kabisa walimgeuka

Makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa sisu tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mimi binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati

Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipigania Chama bila malipo

Mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nini mama unatufanyia hivi sasa wanao tumekukosea nini mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Jinga wewe!
Pimbi usiyekijua chama.
Ben Saanane aliuwawa kwa sera zipi za Chama?
Kinana , Makamba na Nape wakidhalilishwa na Magufuli ni msimamo upi wa Chama.
Wewe Ole ukiwanyanyasa Mbowe na wafanyabiashara, ndio msimamo wa Chama?
Pambaf kabisa!
Wizi na uporaji Bureu De Change Arusha, ni sera za Chama chako?
 
Wapumliwa visogoni kama wewe wanamsahau vipi venye aliwanyoosha? jitu halina vyeti limekalia kazi za watu haliwezi kumpenda, asiwe na nguvu mkeshe kutukana mwe.hu wewe?

Duniani kutesa kwa zamu bwashee. Hata akina Kikwete, Kinana, January Makamba na Nape walipambana kumuweka Magufuli madarakani lakini baadae waliisoma namba kwa miaka mitano.

Sasa ni zamu kuisoma namba, kama vipi hameni chama ,anzisheni SUKUMA GANG DICTATOR PARTY(SGDP)
 
Pole ndugu, haupo peke yako unayeumizwa na huyu mama! Mama ni MSWAHILI WA TOWN! Anaongoza nchi kishikaji kwa kuangalia hadhira ya mtandaoni akidhani watanzania wote wako huko! Binafsi najishangaa ghafla nimepoteza hata hamu ya kufaatilia hotuba za Rais achilia mbali kuangali taarifa za habari TBC, maana kila anachofanya naona mama anapambana na Mwenda zake!
Pole kwa msiba mzito
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

Kweli Magufuli alishinda kwa mbinde sana lakini cha kushangaza kabisa walimgeuka

Makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa sisu tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mimi binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati

Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipigania Chama bila malipo

Mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nini mama unatufanyia hivi sasa wanao tumekukosea nini mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Pole sana Ole..!! Ebu tuambie, uliipenda CCM ya Nape na Kinana, ya Magufuli au ulimpenda sana Magufuli?
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

Kweli Magufuli alishinda kwa mbinde sana lakini cha kushangaza kabisa walimgeuka

Makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa sisu tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mimi binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati

Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipigania Chama bila malipo

Mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nini mama unatufanyia hivi sasa wanao tumekukosea nini mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Si ufe tu mkuu. Yani kufa tuu utuondolee mzigo!
 
Tunataka kuona jeuri yako bila polisi? Nenda kapige watu tena
 
For how long will you keep on crying over spilled milk? If you can't beat them, join them. We are tired of your lamentations in here. Rot in hell Mataga!
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

Kweli Magufuli alishinda kwa mbinde sana lakini cha kushangaza kabisa walimgeuka

Makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa sisu tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mimi binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati

Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipigania Chama bila malipo

Mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nini mama unatufanyia hivi sasa wanao tumekukosea nini mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Umelia sana kweny hii thread, Pole sana lakini hujaeleza Rais hawasikilizi nyie kwa kitu gan, hujasema. Umepata mateso gan baada huu mwaka? Walimgeuka kwa kipi? Weka ushahid, ameanza kuwaadhibu kivip? Weka ushahid, mwisho kbs ww uliipenda CCM baada ya uchaguz wa 2015 tu na baada JPM kufariki naona kbs huipendi tena CCM hivyo bas ww ulikua ni chawa tuu ulimpenda mtu na sio CCM na itikadi zake, sasa maadam uliyavulia nguo zote tulia kwa pigo la mwili wako likupatalo kwakua ulivua nguo mwenyew. Pole san ndo ukubwa 🤣🤣🤣 siri ya ukubwa ni kuvumilia hata kama inauma sana 🤣🤣🤣🤣
 
Lakini wenzio wa hukohuko wanamchukia na kulaani afanyayo Mama SS

Hilo la kawaida sanaaaaaa
Hata wewe wapo wanaokupenda na wanaokuchukia
Hata mitume walipendwa lakini wapo waliowachukia pia
 
Back
Top Bottom