CCM mnajua kunivuruga. Niliwapenda, niliwakubali lakini sasa inatosha

CCM mnajua kunivuruga. Niliwapenda, niliwakubali lakini sasa inatosha

Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Musiba Ni Nani anakutuma?
Mbona unataka kutuharibia nchi yetu?
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Kumbuka hata mama aliteswa na mwenda zake ikizingatiwa kuwa alikuwa pale kupokea amri na siyo kutoa ushauri. Cha mno alijikaza kisabuni na kumuachia Mungu hadi alipopewa ukanda. Wengi walikuwa hata hawamheshimu kama makamu wa rais kwa vile walikuwa karibu na Jiwe. Mfano mdogo ni Dk Bashiru Ally Kakurwa na Humphrey Polepole. Hata hivyo, mama yenu ana huruma maana hawa asingewabakiza hata bungeni. Angewapangia kazi ya kukaa vijijini mwao.
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Mkuu, you sound as if you are Ole Sabaya himself. Lazima utambue uzito wote wa gari wenye vyuma vingi huegemea chini kwenye matairi yaliyotengezwa kwa mpira kwa sababu maalum.

Basi utambue ya kuwa enzi mwendazake wengine nao walipata machungu wakati wewe ukikenua meno nje na kuwadhihaki. Kwa sasa kama ilivyokuwa kwa MATAGA wengine, hamna jinsi bali kusubiri sindano ziwaingie vizuri wakati wenye chama chao wakizidi kurekebisha mambo mliyoyaboronga.

Kuwa mvimilivu mwana. Dozi hii ni mpaka 2030.
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Sabaya ulionywa sana ukakaza shingo,unavuna ulichopanda,na kwa taarifa ni kuwa jela inakuhusu. Wewe si ukiwateka watu ukaua,ukanyang'anya na wengine ukawalawiti,sasa zamu yako ya kulawitiwa imefika.
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Kama vile kuna kaukweli kwa kwa mbaliii
 
Kwa jinsi Magufuli alivyotukana watu enzi za uhai wake siyo tu kwamba sasa hivi nae anapaswa kutukanwa bali pia anatakiwa afukuliwe kutoka kaburini atandikwe viboko.
 
Mama Samia kweli ni genius! Anawapooza wajinga wa awamu ya 5 huku anawapiga nyundo za kichwa!
Huyu MAMA ukitaka kujua u- genius wake fuatilia bunge la Katiba akiwa chini ya Samuel Sitta!
Watu waliojitoa ufahamu na kumuona Magufuli kama Mungu wao kuanzia Makonda, Sabaya,Chalamila,Hapi ,Musiba, Kabudi na wengineo wengi leo Wanaishi kwa hofu sana!
 
wapo waliolalamikia pia awamu ya tano kuwatenga baada ya kukipigania chama na kumuingiza jamaa madarakani dhidi ya EL mwenye nguvu...

Haya malalamiko tumeyazoea huko CCM, mnapaswa kujifunza kila zama na kitabu chake...hata ile zama wapo walioteseka kama wewe tukawacheka na kuwakebehi na majina kedekede...
 
Mkichukulia haya mambo serious soon tutasikia mmeanzisha vikundi vya waasi na kuanza kutusumbua mapolini huko....."everyday is the school day"
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Hajui alifanyalo, wanaofanya hivyo wanajua nini wanakitaka, wanatambua wazi kwamba wapiga kura wengi ni wafuasi wa JPM, kumtukana JPM wanawachonganisha wapiga kura na chama hivyo watu watapiga kura za asira kukiadhibu chama, yajayo yanafurahisha, nadhani hawatambui nguvu ya JPM.
 
Najua kuna wengine wengi mmepoteza kandarasi zenu na wengine ajira zenu...kuna yale magazeti, wasanii, na watu mitandaoni na.mitaani wote kandarasi haipo sasa....Badirisheni tu mfumo wa maisha mje mtaani huku tupige kazi kwa vitendo...aka kazi iendelee...
 
Hajui alifanyalo, wanaofanya hivyo wanajua nini wanakitaka, wanatambua wazi kwamba wapiga kura wengi ni wafuasi wa JPM, kumtukana JPM wanawachonganisha wapiga kura na chama hivyo watu watapiga kura za asira kukiadhibu chama, yajayo yanafurahisha, nadhani hawatambui nguvu ya JPM.
Nani kakwambia CCM inashinda kupitia box la kura?.....Hii nchi ni mali ya CCM na CCM inawajulia Watanzania...
Unasahau zile chaguzi za awamu ya Tano, hamkuona watu walivyodhulumiwa?, mbona hamkusimama na kuwatetea? yale mabox ya kura 2015 hamkuyaona?...
 
Nani kakwambia CCM inashinda kupitia box la kura?.....Hii nchi ni mali ya CCM na CCM inawajulia Watanzania...
Unasahau zile chaguzi za awamu ya Tano, hamkuona watu walivyodhulumiwa?, mbona hamkusimama na kuwatetea? yale mabox ya kura 2015 hamkuyaona?...
Ni mtanzania mwendawazimu tu ndo angemnyima kura JPM, hizi multiple accounts za wenye vyeti feki, mafisadi na wauza ngada sio the majority, walitukana sana then na wako wakitukana sasa ili kuwawin wapiga kura wa JPM wenye hasira na yanayoendelea sasa.
 
Hajui alifanyalo, wanaofanya hivyo wanajua nini wanakitaka, wanatambua wazi kwamba wapiga kura wengi ni wafuasi wa JPM, kumtukana JPM wanawachonganisha wapiga kura na chama hivyo watu watapiga kura za asira kukiadhibu chama, yajayo yanafurahisha, nadhani hawatambui nguvu ya JPM.
Haha, nguvu kutoka kaburini? Acha kujilisha ujinga, marehemu ashasahaulika, watu wanasonga mbele. Alikuwepo Nyerere, alikufa na watu wakamove forward, sembuse hilo fisadi lenu ambalo kakirusi kamafua tu kamemlaza futi 6 chini?
 
Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote

CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara

kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka

makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo

mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Pole ndugu, haupo peke yako unayeumizwa na huyu mama! Mama ni MSWAHILI WA TOWN! Anaongoza nchi kishikaji kwa kuangalia hadhira ya mtandaoni akidhani watanzania wote wako huko! Binafsi najishangaa ghafla nimepoteza hata hamu ya kufaatilia hotuba za Rais achilia mbali kuangali taarifa za habari TBC, maana kila anachofanya naona mama anapambana na Mwenda zake!
 
Back
Top Bottom