KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 407
- 892
wewe nyamaza umempa mimba mke wa rafiki yangu afu unaleta uhuni tulia dawa ikuingie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuki ulikuwa mtamu kwa Nguruwe. Na bado mtakoma. Si mlishabikia mauwaji Chini ya mwendazake mkijali matumbo na teuzi??mm wala si Sabaya ni kada mtiifu wa CCM
hawa vichwa maji walikuwa wanjifanya hawajui jema wala baya. Kila kitu wanashangilia tu.Kinachokutesa ni kutetea uovu si kingine!
Dawa ikuingie vizuri
Leo ndio umekili Magufuli alishinda kwa Mbinde. 2020 ndio kabisa asingeshinda. Mungu kqmnyanganya urais aliokuwa hastahili Kampa Mama.Nimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote
CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara
kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka
makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo
mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
I Cyprian Musiba ukome kumtetea yule Mwendazake mwizi, mwongo, muuaji na mkandamiza demokrasiaNimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote
CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara
kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka
makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo
mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Mbona hujafa na Mungu wako maiti?mm wala si Sabaya ni kada mtiifu wa CCM
Inasikitisha kuona wanaCCM wanachukizwa na maamuzi ya mwenyekiti na mama yetu. Sijui kwanini hawanywi sumu walifuate lile dubwasha....Na huu ndio msingi wa CCM na uimara wake
Kwaiyo unataka mama hasiwashughulikie majambazi wenzio kina SabayaNimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote
CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara
kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka
makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo
mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Babuuuh acha kumdhihaki mwendazake, hata km hukupendezwa nae, basi tumia hekima na busara ktk kuonesha chuki nae, sorry lakini.Inasikitisha kuona wanaCCM wanachukizwa na maamuzi ya mwenyekiti na mama yetu. Sijui kwanini hawanywi sumu walifuate lile dubwasha....
Vumilia inauma lkn inabidi uzoeemm wala si Sabaya ni kada mtiifu wa CCM
Wewe ulilipenda Jiwe siyo CCMNimepata mateso makali ambayo sijawahi kuyapata tangu nizaliwe kwenye maisha yangu huu mwaka sitausahau kamwe katika maisha yangu yoote
CCM niliipenda bila kujali masilahi tangu nikiwa mtoto mdogo nilikuwa sijielewi nimeendelea kuipenda hata wakati wa dhoruba ya uchaguzi mkuu wa 2015 niliiamini sana CCM na Masada wake akina Nape, kinana, na wengine walituambia kuwa tutaleta CCM imara mgombea imara
kweli magufuli alishinda kwa mbinde sana lkn cha kushangaza kabisa walimgeuka
makubwa yametokea baada ya msiba Mama ametugeuka kabisa hataki kutusikiliza ameziba masikio kabisa ss tuliopiga kura ameanza kutuadhibu tena adhabu kali mm binafsi nina maumivu makali sana jamani kiukweli naumizwa na Chama changu nilichokipenda kwa dhati Mama Samia unatutesa sana sisi wapiga kura wa Chama cha mapinduzi wa enzi na enzi mama umeacha Hayati Magufuli anatukanwa ovyo wanaomtukana ndio unawasikiliza kumbe mama uko hivyo mama wanao sisi hautusikilizi tuliokipgania Chama bila malipo
mama baba yetu ameondoka umetugeuka kumbe mama haukuwa na baba pamoja kwa nn mama unatufanyia hivi ss wanao tumekukosea nn mama kwa kweli mama unafuata uongo unaozushwa mitandaoni ndo unaufanyia kazi kweli CCM mmenipa wakati wa mateso makali yasiyopimika
Tafuta hela Acha kulialiamm wala si Sabaya ni kada mtiifu wa CCM