MWANAHARAKATI MWEMA
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 216
- 313
Tunamnadi ili waliopo wajue kwamba tunaitaji kiongizi kama magu sio legelege.Lakini ndiye aliyepo. Lengo la kumsifia Marehemu na kumfanyia harakati kama za Kampeni ni nini??
Hizo kampeni anazifanya mama yako au nani?Hoja siyo kutajwa, Bali ni kwa nini Kuna harakati kubwa Sana zinazofanana na Kampeni??
Kuna nini nyuma ya Pazia??
Huwezi kuwapangia watanzania mtu wa kumsifia!Lakini ndiye aliyepo. Lengo la kumsifia Marehemu na kumfanyia harakati kama za Kampeni ni nini??
The span of someoneβs life is only the core of their actual existence."
Uko sawa mkuuHapana,
Wewe ndiye umejibana na kutoelewa muktadha na kulazimisha ushirikina.
Mimi siamini ushirikina. Ushirikina ni ujinga mtupu.
Lakini, hilo halinizuii kuelewa kwamba, ukimtaja Magufuli tu, kumbukumbu yake inaendelea kuishi kwenye mawazo.
Anakuwa si mtu aliyesahaulika kama babu wa babu wa babu wa babu wa babu yako ambaye hata jina humjui.
Sasa hapo ushirikina unaingiaje?
Thanks for this piece of infoTuliosoma falsafa na historia tumekutana na hoja kwamba mtu hafariki mpaka siku mtu wa mwisho anapoacha kumuwaza.
Yani ukimfikiria, ukimkumbuka, ukimtaja, anaendelea kuishi katika mawazo yako.
Labda wanataka Magufuli aendelee kuishi katika mawazo ya watu.
"No one is finally dead until the ripples they cause in the world die away, until the clock wound up winds down, until the wine she made has finished its ferment, until the crop they planted is harvested. The span of someoneβs life is only the core of their actual existence."
Terry Pratchett, Reaper Man (Discworld, #11; Death, #2)
AahaaaaWanainchi washachoka na utawala uliopo. Wao wanapeleka ujumbe kwamb kilichopo saivi hawakitambui
Yani ni bola mwenda zake kuliko huyu wa sasa.
Aahaaaa,labda ye ni mtu wa system amekuja kupima upepo humuUnatakiwa ufurahie wao kukosa mgombea 2025.
Sasa ukihuzunika, inatupa mashaka wengine.π
Inatafakarisha mno. Wengi tunaamini ukomo wa maisha yetu ni kifo. Lakini kiuhalisia kifo ni ukomo wa uhai (physical existance) ila uwepo wetu unaendelea katika mambo mengi mno.Ngurukia umeionaje, umeielewaje na kama umeikubali umeikubali vipi hiyo nukuu?
Ujumbe mzuri sanaKama anafaa au hafai, ni lazima watu wakumbuke.
Ili, kama anafaa, kwa kadiri anavyofaa, mazuri yake yadumishwe, na kama hafai, kwa kadiri asivyofaa, mabaya yake yaepukwe.
Pinga hoja, usipinge mtu kuzungumziwa. Kama wanachakachua historia, weka sawa. Lakini usiseme kwa nini mnamuongelea Magufuli mtu kashafariki. Mtu akifariki si mwisho wa kuongelewa. Kuna wengine wanaona ndiyo mwanzo wa kuongelewa, kwa sababu kumuongelea mtu maisha yake kabla hajayamaliza anaweza kubadilika, akifariki ndiyo hawezi kubadilika.
Kwa nini unaona watu kukumbusha historia ni jambo baya as long as kinachokumbushwa ni kweli?
Rais Mwinyi ametuachia somo kwamba maisha ya mtu ni hadithi, ishi ili hadithi yako iwe nzuri watu wakihadithia ulivyoishi, usiache aibu.
Sasa watu wakisimulia hadithi za mtu tatizo liko wapi?
Umeshindwa kufikiri kidhahania kwamba hayo mazuri ya huyo mtu yanaweza kuwapa darasa wengine la kuyafuata, au kama mabaya, yanaweza kutoa darasa la kuyaepuka?
Unataka mtu akifa asizungumziwe tena?
Rais aliyeongoza mamilioni ya watu akifa asizungumziwe tena?
Unaelewa kuna simulizi wa Wafalme waliokufa maelfu ya miaka, wa Kirumi, Kiyunani, Mafarao wa Misri, mpaka leo watu wanazisimulia kujifunza kutokana na maisha yao?
Watu wanaandika habari za Caesar, Augustus, Nero, Caligula, Alexander the Great, Darius, Rameses, Ptolemy, Genghis Khan, Napoleon, Washington, Hitler, Martin Luther King Jr., Kennedy.
Mpaka leo.
Wewe unashangaa habari za Magufuli kafariki juzi hapo? Hata watu hawajamuandikia biographies za maana za kuchambua maisha yake.
If anything Tanzania hatujamuongelea vya kutosha Magufuli. Hatujamuongelea kwa kina kuchambua mazuri na mabaya yake, tuepuke mabaya yake yasijirudie na mazuri yake tuyaenzi na kuyaendeleza.
π€π€π€π€π€Hawa watu wasiompenda Magufuli wanaoumizwa anapoongelewa Magufuli mimi nawashangaa sana.
Kwanza sielewi wanaumizwa na kipi. Wanaona wivu Magufuli akiongelewa?
Pili, kama kweli hawampendi Magufuli, presumably na CCM, mimi ningetegemea wafurahie wana CCM kumuongelea Magufuli ambaye amefariki (kwa sababu hawezi kugombea kwenye uchaguzi) na wao waitumie fursa hiyo kumnadi mgombea wao.
Sasa, badala ya wao kumnadi mgombea wao, na wao wanajiunga kumuanzishia uzi Magufuli.
Hapo ndipo swali lako linakuwa na uzito.
Mtu anaponda watu kumuongelea Magufuli. Badala ya yeye kuanzisha uzi wake atuambie habari za mgombea wake, anaunga tela kuanzisha uzi wa kumuongelea Magufuli.
This is a contradiction.
Ukiachana na Mapungufu mengine Jamaa alikuwa anapiga kaziUkimkumbuka mtu ndiyo ufanye harakati kama za Kampeni??
Watu wanatengeneza mpaka mabango...[emoji38][emoji38][emoji38]
Akili kubwa hapo wanatumia kumpoteza mamaNi kama sielewi CCM inataka nani awe mgombea wao ngazi ya Urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Kati ya Hayati John magufuli na Wana CCM wengine walioko hai.
Kwenye mitandao ya kijamii hivi Sasa ni kama limezuka Kundi kubwa Sana la wana CCM linalofanya jitihada za kuhakikisha kuwa kila siku kunakuwa na habari za Hayati Pombe John Magufuli mitandaoni.
Ni kama vile wanatushawishi tuone ubora wake na achaguliwe kwenye uchaguzi ujao.
Magufuli alishafariki, Sasa hizo harakati za mitandaoni kumnadi lengo lake ni nini hasa!!??
Shida yote hii inasababishwa na huyo alieko amekua mbayuwayu hatulii kiotani hivyo anasababisha wafuasi wake kukosa habari ya kuandika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama niivyo, ndiyo wengine wadiriki kusema kuwa DAB au Tapeli gwajiboy wanafaa kuongoza nchi?? Tumefikia huko??
Lengo ni kura za kanda ya ziwa wala hawana loloteNi kama sielewi CCM inataka nani awe mgombea wao ngazi ya Urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Kati ya Hayati John magufuli na Wana CCM wengine walioko hai.
Kwenye mitandao ya kijamii hivi Sasa ni kama limezuka Kundi kubwa Sana la wana CCM linalofanya jitihada za kuhakikisha kuwa kila siku kunakuwa na habari za Hayati Pombe John Magufuli mitandaoni.
Ni kama vile wanatushawishi tuone ubora wake na achaguliwe kwenye uchaguzi ujao.
Magufuli alishafariki, Sasa hizo harakati za mitandaoni kumnadi lengo lake ni nini hasa!!??
Huyo samia ndiyo nani tena wengine atumjui au ni yule aliye nunua pichu za halili dubai kwa mamilioni ya shilingi pamoja na saa 6 ambazo kila moja ni mil zaidi ya mil 100Au wewe unawaelewa???
Maana mapichapicha ya video Sasa imekuwa kama dozi!!
Mara wanatengeneza mabango ya kumsifia kila siku hadi sielewi...
Sioni wakifanya harakati kama hizo Kwa Samia Suhulu Hassan ambaye ndiyo wanategemea awe mgombea wao 2025.