hakuna cha uadui wa nani nani? kasema ya kweli wale wahudumu wengi si warembo na mawigi yao kama kiota
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi
Huna akili boya wewe rudi shule jenga hoja axa utoto we jitu zima ovyoohakuna cha uadui wa nani nani? kasema ya kweli wale wahudumu wengi si warembo na mawigi yao kama kiota
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi
Hahaa kuna yule wakiume jana alitoa pendekezo ya kuwekwa sheria yakuwawezesha wazazi kuwabana watoto wao pale wanapopata kazi na kushindwa kuwasaidia nawengine kutopokea hata simu zawazazi wao hali yakua wazazi waliwasilomesha kwa shida .. aliongea kiutani utani sema ilikua na kaukweli flani iviNi mbunge wa CCM huyo, kuna mbunge mwingine mwanamke wa CCM alilitaka bunge kuchunguza wabunge wanaume wenye magovi wasiingie bungeni
KAULI YA HUYU MAMA INAUMA SANA BASI TU HATUNA UWEZO ILITAKIWA ASHITAKIWEYaani nilishasema wanaume tu ndo wanapendana lakini wanawake tunaoneana wivu wa kijinga sana.
Hii kauli ya Mbunge tena mwanamke kuhusu wafanyakazi wa ndege ATCL kuwa hawana mvuto na wafupi, huu ni wivu wa kuzodoa, kuwakejeli, kuwadhalilisha watoto wa kike wa mwanamke mwenzio au wanawake wenzio.
Wewe Hasna Mwilima, je wewe ni mrembo? Urembo wa mwanamke mwenzie unataka uufanyie nini?
Au unataka hao wanawake waachishwe kazi wakafanye kazi gani? Mpaka hapo umeisha poteza sifa za kuwa Mbunge, umewadhalalisha sana wanawake wa Tanzania.
Natamani niwafahamu watoto wako wa kike, nione urembo walio nao, wanawake tuna mambo ya ajabu sana, ambayo hata shetani ameshindwa kutudefine.
Nilitegemea kauli kama hii ingetolewa na Mbunge viti maalumu, kumbe tena Mbunge mwenye jimbo aliyepigiwa kura na kila aina ya mwanamke, wafupi, warefu, rangi tofauti tofauti, leo unawadhalalisha kiasi hiki.
Ufupi wa mwanamke si ulemavu wa kushindwa kufanya kazi, au hizo ndege ni madanguro? Inabidi tufahamishwe kazi ya ziada wafanyao hao wanawake.
Hajiamini ndiyo maana anatumia wigi kichawani. Mtu mzima hovyo.
Safi sana mkuu, kama alivyo mbunge naye huyu ni walewaleWewe nawe bwege tu
1. Tunatafuta mshindi wa urembo safarini?
2. Kunabiashara ya ukahaba ndani ndege?
3. Je hiyo sio fani wanasomea na kufaulu?
4. Watanzania wafupi hawana haki kupata ajira hizo?
5. Watanzania wenye sura mbaya kwa kauli yake Mbunge mpumbavu hawana sifa kuajiliwa iwapo wamefaulu Masomo yao?
6. Je katiba inasemaje ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu usawa?
7. Kanuni za ccm zinsema vipi kuhusu binadamu na usawa?
Mbwa kama nyinyi enzi za Nyerere ilikuwa nikufukuza kazi na kuwafunga.
Tukianza kubaguwana kwa
-ufupi kawawa na mwinyi hata Mkapa wasingekuwa Marais
-Tukianza kubaguwana kwa sura Remi ongala asingepata wafuasi pande zote za taifa la tanzania
Tunakuwa wapumbavu na wajinga watokufikiri vema ili kutenda mema kwa taifa letu.
Tuache upumbavu
Wewe nawe bwege tu
1. Tunatafuta mshindi wa urembo safarini?
2. Kunabiashara ya ukahaba ndani ndege?
3. Je hiyo sio fani wanasomea na kufaulu?
4. Watanzania wafupi hawana haki kupata ajira hizo?
5. Watanzania wenye sura mbaya kwa kauli yake Mbunge mpumbavu hawana sifa kuajiliwa iwapo wamefaulu Masomo yao?
6. Je katiba inasemaje ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuhusu usawa?
7. Kanuni za ccm zinsema vipi kuhusu binadamu na usawa?
Mbwa kama nyinyi enzi za Nyerere ilikuwa nikufukuza kazi na kuwafunga.
Tukianza kubaguwana kwa
-ufupi kawawa na mwinyi hata Mkapa wasingekuwa Marais
-Tukianza kubaguwana kwa sura Remi ongala asingepata wafuasi pande zote za taifa la tanzania
Tunakuwa wapumbavu na wajinga watokufikiri vema ili kutenda mema kwa taifa letu.
Tuache upumbavu
Kuna mashindano ya umiss kwenye hizo ndege,sijaelewa logic ya urembo kwenye ndege,kwamba wanajiuza kwenye hizo ndege, au wasafiri wanaburudika wanavyowaona,kwamba si wasafi wananuka,sjajua urembo kwenye vyombo vya usafiri kuna umuhimu gani,kwamba usafiri wa ndege ni sehemu ya maonyesho ya Sanaa ya burudani kama ilivyo casino,sijapata logic ya urembo kwenye usafiri wa ummahakuna cha uadui wa nani nani? kasema ya kweli wale wahudumu wengi si warembo na mawigi yao kama kiota
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi
Yaani nilishasema wanaume tu ndo wanapendana lakini wanawake tunaoneana wivu wa kijinga sana.
Hii kauli ya Mbunge tena mwanamke kuhusu wafanyakazi wa ndege ATCL kuwa hawana mvuto na wafupi, huu ni wivu wa kuzodoa, kuwakejeli, kuwadhalilisha watoto wa kike wa mwanamke mwenzio au wanawake wenzio.
Wewe Hasna Mwilima, je wewe ni mrembo? Urembo wa mwanamke mwenzie unataka uufanyie nini?
Au unataka hao wanawake waachishwe kazi wakafanye kazi gani? Mpaka hapo umeisha poteza sifa za kuwa Mbunge, umewadhalalisha sana wanawake wa Tanzania.
Natamani niwafahamu watoto wako wa kike, nione urembo walio nao, wanawake tuna mambo ya ajabu sana, ambayo hata shetani ameshindwa kutudefine.
Nilitegemea kauli kama hii ingetolewa na Mbunge viti maalumu, kumbe tena Mbunge mwenye jimbo aliyepigiwa kura na kila aina ya mwanamke, wafupi, warefu, rangi tofauti tofauti, leo unawadhalalisha kiasi hiki.
Ufupi wa mwanamke si ulemavu wa kushindwa kufanya kazi, au hizo ndege ni madanguro? Inabidi tufahamishwe kazi ya ziada wafanyao hao wanawake.
Siku moja watasema tunataka wahudumu wa ndege wawe na chuchu zilizosimama na kuachia kifua wazi ili abiria iwe rahisi kuwatomasa na kuwavutiaSawa, lakini hoja ni kwamba ile ni biashara, na biashara ni mvuto, si kila mtu ana mvuto wa kuwa 'air hostage', tusilazimishe, wengine wakawe wahasibu, air ticketing nk., wale. Wazuri ndio wahudumie abiria.
Huna matumaini wewehakuna cha uadui wa nani nani? kasema ya kweli wale wahudumu wengi si warembo na mawigi yao kama kiota
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi
Sawa, lakini hoja ni kwamba ile ni biashara, na biashara ni mvuto, si kila mtu ana mvuto wa kuwa 'air hostage', tusilazimishe, wengine wakawe wahasibu, air ticketing nk., wale. Wazuri ndio wahudumie abiria.